Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi Kenya, The CBD IS BEAUTIFUL as seen from Westlands.
2386380_IMG_20200501_235211 (1).jpg
 
With all due respect to Mh. Magufuli, that is a pedestrian reasoning from a president., scientificaly kama unaelewa viema kile walifanya matokeo lazima yawe faulty., inaweza ikakupa either faulty positive na faulty negative mbavu zangu ni lini mtaona jua???,
Hapa hutoki dadadeki msikilize raisi wa EAC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kajaribu kuwafungua waafrica.. wasiamini hizo donated testing kits. hakuna Rais africa aliejaribu kusema kuhusu hili. bravo to him

wengine hawa wanasaidia kufikisha ujumbe
Ila nahisi mabeberu hawataacha hili lipite, unajua shida ni kwamba rais wetu yuko so open hafichi kitu na hawezi kamwe kukaa na kitu moyoni, wataanza kumfanyia hila, lkn Mungu wetu yupo atamsimamia daima.
 
This guy got it right. Tanzania ni giza kweli! Mungu awape neema na rehema, hilo tu ndio linawaweka, mengine ni balaa.
View attachment 1438868

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu tena anafata nn kwny comment yako? Nyie c mnaamini whites katika kila kitu, yn wakenya mtaacha lini shobo kwa whites? Bomu mnaliona lkn kwasababu ni whites bac mnaamini tu, yn mm nsimuamini msomi mwenye Phd tena anajua vzr kuhusu huo mchanganyiko wa dawa za labs nikuamini ww kapuku wa kibera kisa una comment kwa broken zako.... Pumbavu
 
With all due respect to Mh. Magufuli, that is a pedestrian reasoning from a president., scientificaly kama unaelewa viema kile walifanya matokeo lazima yawe faulty., inaweza ikakupa either faulty positive na faulty negative mbavu zangu ni lini mtaona jua???,

Sent using Jamii Forums mobile app
He's Dr. John Pombe Joseph Magufuli, anaijua vzr Chemistry kuliko ww, so ni lazima nimwamini yeye kuliko ww unaetumia moyo wako kuaminisha watu ovaaa
 
He's Dr. John Pombe Joseph Magufuli, anaijua vzr Chemistry kuliko ww, so ni lazima nimwamini yeye kuliko ww unaetumia moyo wako kuaminisha watu ovaaa
Dr. wa nini?., kama unajua maana ya Doctor., ama wewe ni wale wakiona yeyote ni Dr. munafikiria ni wakutibu ama ana majibu kwa kila jambo., wacha ufala. Tanzania's ignorance is on steroids

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waulizeni Waturuki wawarudishe hela zenu. Wakandarasi na wahandisi wakitanzania halisi wangejenga vyema. That thing is utterly ugly wallahi!!!
Having glass doesn't mean it is beautiful.
It can't compete even with smaller stations in Kenya on beauty
View attachment 1438745
Mbona mnawashwa kunako kabla hata station yenyewe haijaisha? Station zenu zote ni bullshit. Hatuna haja ya kujenga station kubwa porini kama nyie. Station zetu tunajenga kwa kuangalia matumizi kwanza, sio “beauty” Kama unavyodhani. Halafu, station ya Dar itahudumia Treni za umeme na za diesel. Location ya station Ni convenient Maana iko CBD ila ile ya nairobbery ipo sijui wapi. Tatu, kutakuwa na brt inapita hapo mbele ya station kwa hiyo inakuwa rahisi kumove abiria to and from the station. Halafu kama hii station ya Dar Ndio inakuumiza hivi, ya Dodoma itakufukuza humu Maana hiyo treni za umeme zitakuwa zinaingia ndani ya station kwenye ghorofa ya juu. Tatizo sikusave render yake lakini mfano wake ni huu wa hii station ya Berlin
24858ECB-EF68-47A7-B6C5-61BDE96BD5EF.jpeg
 
Mungu tena anafata nn kwny comment yako? Nyie c mnaamini whites katika kila kitu, yn wakenya mtaacha lini shobo kwa whites? Bomu mnaliona lkn kwasababu ni whites bac mnaamini tu, yn mm nsimuamini msomi mwenye Phd tena anajua vzr kuhusu huo mchanganyiko wa dawa za labs nikuamini ww kapuku wa kibera kisa una comment kwa broken zako.... Pumbavu
Ukweli unauma lakini utabaki kua vile, upayuke, ulie, ucheke, shauriyako na fikra zako finyu.
IMG-20161220-WA0011.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
With all due respect to Mh. Magufuli, that is a pedestrian reasoning from a president., scientificaly kama unaelewa viema kile walifanya matokeo lazima yawe faulty., inaweza ikakupa either faulty positive na faulty negative mbavu zangu ni lini mtaona jua???,

Sent using Jamii Forums mobile app
so ww hoja yako iko wapi hebu eleza ueleweke
 
Back
Top Bottom