Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Choler
Hawarudii tena km unabisha ngoja uone, wakija hapa watajifanya kupotezea wataanzisha mada mpya, Tz bhn baba laooo
Cholera ipo Tz kwa wingi tena sana, wewe kilaza wa CCM unafikiri data zinatoka wapi?., kwa serikali, serikali ya CCM haiwezi peana data halisia kwa tume za kimataifa za utafiti, watapika kama kawaida yenyu, media za kimataifa ndio huwa zinawafumania kupitia waandishi wenyu wanao tuma taarifa nje kisiri kwa hofu ya kukamatwa na useless govt., jiangalie vile mulivyo wengi wenyu., mitaa imechakaa, watu wamezubaa kishenzi, idlers kibao, over 70% slum dwellers, cholera itakosa vipi?., pelekeni ujinga mbali.,
 
sijui mwaka wa mwisho kusikia cholera ilikua mwaka gani hata burundi sijasikia neno hilo
Hawa wapumbaavu korona imepelekea kujifungia ndani sasa wanakula mavii wanapata kipindupindu

Send by APOLO 1
 
Tuliwaambia 2020 ndiyo mwaka wao wa maumivu, yn waishukuru sn hii covid-19 la cvyo ilikuwa tunamaliza mchezo mapema sn
What is the gross domeatic production ya uchumi wenu kwa sasa?., your league is Cameroon and Ghana, na wale Ghana wako nafuu kiwaliko tena sana., outgoing na ni watu wakujituma., nyie munajipima na vigorofa na ka fkyover., how much is your port raking in as at 2019?., what is the net profits of your businesses; banks, telecommunications, other industries., what revenue does your cities get?., weka data hapa., nyie hata 2050 hamtoweza.
 
siku utamiliki kitu kama hiyo njoo nikuoneshe nyumba nayomiliki mm mbuzi wewe unaona kila mtu humu ndani rika yako
Usiseme sana ,,,sasa hivi na huyu mkenya atajigeuza binti kama komora watataka uwaonge Pesa wagange njaa ,

Send by APOLO 1
 
What is the gross domeatic production ya uchumi wenu kwa sasa?., your league is Cameroon and Ghana, na wale Ghana wako nafuu kiwaliko tena sana., outgoing na ni watu wakujituma., nyie munajipima na vigorofa na ka fkyover., how much is your port raking in as at 2019?., what is the net profits of your businesses; banks, telecommunications, other industries., what revenue does your cities get?., weka data hapa., nyie hata 2050 hamtoweza.
Data hizi hapa
tapatalk_1583769264803.jpeg
 
Choler

Cholera ipo Tz kwa wingi tena sana, wewe kilaza wa CCM unafikiri data zinatoka wapi?., kwa serikali, serikali ya CCM haiwezi peana data halisia kwa tume za kimataifa za utafiti, watapika kama kawaida yenyu, media za kimataifa ndio huwa zinawafumania kupitia waandishi wenyu wanao tuma taarifa nje kisiri kwa hofu ya kukamatwa na useless govt., jiangalie vile mulivyo wengi wenyu., mitaa imechakaa, watu wamezubaa kishenzi, idlers kibao, over 70% slum dwellers, cholera itakosa vipi?., pelekeni ujinga mbali.,
Shida yenu kubwa ni huwa mnadhani kila aliyeko tofauti na nyie humu ni ccm 😂😂 😂

Kwa hiyo tuache upotoshe humu!
Ona sasa unaleta makasiriko saa hizi,

Sasa hizo media za kimataifa mbona Sijaona zikituumbua kwa hii link?
Cholera worldwide overview
Hiyo ni worldwide statistics,
Soma uone mmewekwa kundi gani.
 
Shida yenu kubwa ni huwa mnadhani kila aliyeko tofauti na nyie humu ni ccm 😂😂 😂

Kwa hiyo tuache upotoshe humu!
Ona sasa unaleta makasiriko saa hizi,

Sasa hizo media za kimataifa mbona Sijaona zikituumbua kwa hii link?
Cholera worldwide overview
Hiyo ni worldwide statistics,
Soma uone mmewekwa kundi gani.
Wale hawapiki wanakusanya yale wamepata ndio watatangaza, zile nchi za kuficha vifo na maradhi hazioredheshwi kwa sababu hawana records, serikali hovyo ndizo zinaficha data., when some sense of civility and true democracy will happen in Tz ndajua mtapaa zaidi ya kila nchi Africa, potential ya Tz ni kubwa, hilo liko wazi, kwa sasa ni hekaya za abunwasi, propaganda and public relations projects, ilhali raiya wako na hali duni.
 
Wale hawapiki wanakusanya yale wamepata ndio watatangaza, zile nchi za kuficha vifo na maradhi hazioredheshwi kwa sababu hawana records, serikali hovyo ndizo zinaficha data., when some sense of civility and true democracy will happen in Tz ndajua mtapaa zaidi ya kila nchi Africa, potential ya Tz ni kubwa, hilo liko wazi, kwa sasa ni hekaya za abunwasi, propaganda and public relations projects, ilhali raiya wako na hali duni.
Saivi mmebaki na excuses za kusema tunaficha data, endeleeni na mentality hyo huku cc tunawapiga gap kila uchwao
 
Wale hawapiki wanakusanya yale wamepata ndio watatangaza, zile nchi za kuficha vifo na maradhi hazioredheshwi kwa sababu hawana records, serikali hovyo ndizo zinaficha data., when some sense of civility and true democracy will happen in Tz ndajua mtapaa zaidi ya kila nchi Africa, potential ya Tz ni kubwa, hilo liko wazi, kwa sasa ni hekaya za abunwasi, propaganda and public relations projects, ilhali raiya wako na hali duni.
Kwenye Taarifa yako si umemtaja ummy mwalimu kwamba ndio katoa report ya cholera Tz, hio si tayari inamaanisha serikali, Taarifa yako ni ya uongo umeandika mwenyewe hiyo habari
 

Na wewe kama kijana na wenzako mko wapi?., the youths are the future unajua., soma taarifa hapa kuhusu hiyo data about the youth;.
👇👇

Kenya records the highest number of dollar millionaires under 35 years in Africa even as South Africa leads the pack with 1,033 ultra-rich persons
03/05/2020 | PULSE LIVE KENYA | GEORGE TUBEI
This is according to the 2020 Knight Frank’s Wealth Report which showed the country had a very large number of millennials who are wealthy as of last year.

Kenya was ranked sixth in Africa among the countries captured by the Wealth Report.
Kenya boosts the highest number of high net worth individuals under the age of 35 years with a net worth of at least Sh100 million ($1 million) when compared to its peers in Africa.
This is according to the 2020 Knight Frank’s Wealth Report which showed the country had a very large number of millennials who are wealthy as of last year. The report does not, however, name individuals.
“In Kenya, we had the highest number of Generation Z, people born after 1995, who are considered HNWIs and who are the clients of wealth advisers in Kenya. It also showed a very large number of millennials who are wealthy,”
said Andrew Shirley, one of the researchers behind the Wealth Report.
“So what we are seeing in Kenya is an outperformance of young entrepreneurial wealth creation and in terms of sectors they are coming from technology.”
According to the report released on Wednesday, the number of a dollar millionaires in the country has grown 263 per cent since 2014, and now stands at 2,900. It is expected to rise to 3369 by 2024.
In the same breath, an estimated 499 Kenyans dropped from the rank of dollar millionaires last year due to a slowdown of the economy.
Similarly, six Kenyans also dropped from the elite group of super-wealthy persons known as Ultra High Net-Worth Individuals (UHNWI) with a net worth of more than Sh3 billion, cutting their number to 42.
Over the past three years, the Kenyan economy has been struggling to recover following a bruising presidential election in 2017 that put on hold many investment decisions. This was compounded by poor weather that held back farming — which accounts for a third of the country’s gross domestic product (GDP)—last year.
“The drop in number of dollar millionaires was a reaction to the slowdown of the Kenyan economy,” said Shirley.
Last year was also characterised by a drop in corporate profits that saw thousands of people lose their jobs and cut dividends from firms owned by the wealthy.
Kenya was ranked sixth in Africa among the countries captured by the Wealth Report.
South Africa leads the pack with the highest number of wealthy persons with a net worth in excess of Sh3 billion ($30 million) with 1,033 ultra-rich persons followed by Egypt (764) Nigeria (724) Morocco (215) and Tanzania (114).
The Knight Frank’s Wealth Report describes wealth as the net assets of a person that includes property, cash, equities, business interests less any liabilities and their primary residences.
The report reckons that Kenya’s wealthy are increasingly becoming conservative in their investments, preferring less risky and low returns assets like bonds, gold and cash—where they pocket interest payments.
Source of wealth
The manufacturing, real estate and technology sectors have been the biggest contributors to the number of new dollar millionaires in recent years.
Previous wealth reports on Kenya have also shown strong linkages between politics and wealth accumulation.
Subscribe to "BI" newsletter
Join 10,000 others, get the latest African business trends, profiles and news straight to your inbox
Thank you! You have successfully subscribed to receive the pulselive.co.ke newsletter
Opps an An error Occured
SEND ME UPDATES
GEORGE TUBEI
Tell your friends
Eyewitness? Submit your stories now via social or:
WhatsApp: +254708994405
Email: eyewitness@pulselive.co.ke
MOST POPULAR
Elon Musk declared that he's selling 'almost all' of his physical belongings and 'will own no house,' and that Tesla's stock price is 'too high' (TSLA)
Bill Gates says the world would need as many as 14 billion doses of a coronavirus vaccine to stop the virus
Trump calls protesters who carried guns into the Michigan state capitol 'very good people' and says the governor should 'make a deal' with them
The top 7 movies on Netflix this week, from 'Extraction' to 'Incredibles 2'
President Akufo-Addo appoints Francis Boateng as new TOR MD
Tara Reade says the words 'assault' or 'harassment' won't be found in her 1993 complaint against Biden
Brazil is letting the coronavirus run wild with little intervention, and the results are strikingly bad
Bill and Melinda Gates just bought a $43 million beach house in California — see inside
Bill Gates thinks there are 8 to 10 promising coronavirus vaccine candidates and one could be ready in as little as 9 months
Biden asks the secretary of the Senate to direct a search for an alleged sexual harassment complaint filed by a former staffer Nairobi City s
 
Kwenye Taarifa yako si umemtaja ummy mwalimu kwamba ndio katoa report ya cholera Tz, hio si tayari inamaanisha serikali, Taarifa yako ni ya uongo umeandika mwenyewe hiyo habari
Corona imewaumbua kaka, hampeani number halisi, hiyo ni desturi ya philosophia ya communist, it came out kupitia preassure ya wapinzani na malalamishi ya raiya, nimefuatilia uzi zenyu kwa muda, nilisikia eti hamtaki raiya wawe na hofu, ama ni serikali hawataki aibu?., Pia hiyo ya Cholera sishangazwi hata kidogo.
 
Wale hawapiki wanakusanya yale wamepata ndio watatangaza, zile nchi za kuficha vifo na maradhi hazioredheshwi kwa sababu hawana records, serikali hovyo ndizo zinaficha data., when some sense of civility and true democracy will happen in Tz ndajua mtapaa zaidi ya kila nchi Africa, potential ya Tz ni kubwa, hilo liko wazi, kwa sasa ni hekaya za abunwasi, propaganda and public relations projects, ilhali raiya wako na hali duni.
Kinga ya kipindupindu ni usafi,
Sisi watanzania tunajitahidi sana kwenye usafi,
Na nyie jitahidini kwenye usafi muone kama kipindupindu kitawasumbua tena,
Cholera worldwide overview
Ona haya mazingira yenu halafu unakuja na ujinga wako hapa,

Halafu unazungumzia hali duni embu Pitia hii link.
14.5m Kenyans face hunger every year
 
Corona imewaumbua kaka, hampeani number halisi, hiyo ni desturi ya philosophia ya communist, it came out kupitia preassure ya wapinzani na malalamishi ya raiya, nimefuatilia uzi zenyu kwa muda, nilisikia eti hamtaki raiya wawe na hofu, ama ni serikali hawataki aibu?., Pia hiyo ya Cholera sishangazwi hata kidogo.
Kaa na ujinga wako wa ntv
 
Corona imewaumbua kaka, hampeani number halisi, hiyo ni desturi ya philosophia ya communist, it came out kupitia preassure ya wapinzani na malalamishi ya raiya, nimefuatilia uzi zenyu kwa muda, nilisikia eti hamtaki raiya wawe na hofu, ama ni serikali hawataki aibu?., Pia hiyo ya Cholera sishangazwi hata kidogo.
Nyie ni wachafu halafu mnadhani kila mtu ni mchafu kama nyie,
Cholera worldwide overview
 
Back
Top Bottom