Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwnz kubali kwmb hii ni Parklands zen nkuoneshe slums huenda nakulaumu bure kumbe uko shortsighted View attachment 1437933
Nionyeshe hizo vibanda I have circled in red Ziko wapi kwenye ile screenshot ya ichoboy. Mbona unashindwa na kitu rahisi hivyo?
PhotoGrid_1588443433296.jpg
 
Parklands borders Muthaiga, the leafy side as you can see in that picture. There's no slum between parklands and the leafy side Muthaiga which you can also see in that picture. Swali ni kwamba: zile vibanda zilikuwa Kwa ile picha ulileta zimepotea wapi kwenye hiyo screenshot ya ichoboy? Where is the slum you were talking about in that screenshot??
Haitaki ubishi wala makasiriko.
 
[QUOTE"ichoboy01, post: 35206687, member: 420069"]
simple and clear😂😂👇👇👇View attachment 1437826View attachment 1437827View attachment 1437828
[/QUOTE]
Mombasa 2020., hamja achania mbali, mko sako kwa bako., view ya Mombasa from the ocean when aproaching Mama Ngina towards port, shida picha ya drone pale hairuhusiwi., state house Mombasa iko area hizo., skyline almost same, am yet to see it anyewhere kwa mtandao...
 
taja hapo ni sehemu gani dar 😂😂 unafkiri kuna mabanda ya nguruwe huku yani mzungu asione mabanda uone wewe 😁😁😁 utasubiri miaka 300
Mzungu kwenyu akuje kufanya nini?., ni Serengeti na kuondoka, nchi ya kukandamiza free speech, na divergent views nani mwenye akili timamu anaweza kuitamani?., ni wezi wa rasilmali zenyu kama dhahabu na vinginevyo ndio wanazurura Tz, warabu na wahindi wamewakalia kitako, nyie mnaishi mitaa yenye small coridors ndio njia ya kupitia, unplanned low quality settlements in large quantities over 80%., weka aerial view Dar yote, utaona developed area ni ndogo sana ukilinganisha na ushamba mliojaza mjini.,
 
Back
Top Bottom