Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kaenda lini hebu tujuze
Hapa ni ikulu
images.jpeg-14.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao watu wa mtaani nani kawapima, jamaa mbona msiwape nafasi madaktari wazawa wafanyie test hvyo vitu km je vina madhara baada ya matumizi

Sent using Jamii Forums mobile app
Wasubirini hao wataalamu mpk wathibitishe cc tunatumia tu na tunapona, hao wataalamu wenu c huwa wanawaambia kuna baadhi ya magonjwa hayana dawa? Mwafrika bhn kweli akili ndogo
 
Ukweli inakuuma sana, corona imewaumbua. Nchi ovyo, nawa hurumia tu. Weka vipicha vya Dar niburudike na uzuri (precisely the few developed selected area, the rest 90% tunakujua) flyovers zimefika ngapi?.,
Unatumia kichwa kuwaza au kama kifuniko cha mwili.
 
Bwahahaaa..nairobi tayari kuna kariakoo nyingi sana...
Narudia tena, dar sehemu zilizojengeka ni cbd, kariakoo na upanga..

Yani kw ukubwa wote ule halafu maendeleo yapo kiduchu hvo...kweli mna safari ndefu

Km unabisha niletee sehemu iliyojengeka zaidi ya hzo tatu..povu rukhsa

Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuletea picha moja ya Ilala yenye ameshinda akileta hapa kila siku
 
upperhill ina density gani hvi nyinyi mwatufanya sisi wageni nairobi au hatuna akili hvi munajua maana ya density 😂😂😂😂
Maana ya density ni kama zile tugorofa viwili vya Kijikonyama 😂 😂 😂
 
Hehehe,hi ni nini sasa,huwa najiuliza kwani ilala huwa na picture moja tu,if unajiamini na ilala inaweza chapa parklands, bring it over with another aerial view like this boy
View attachment 1437094
Yani parklands alone is way better than ile kijikonyama yao tunaimbiwa hapa usiku na mchana. There are tall buildings all over. kijikonyama kuna vigorofa viwili along stretch moja ya barabara halafu tunapigiwa kelele hapa
 
Hiyo ndio density? What's the difference between the first picture and the third picture? You are basically showing the same buildings along the same road taken in different angles. Upper Hill does not have linear development kama hii Kijiko na nyama yenu to start comparing the two
imekuuma eehh, hyo ni makumbusho jombaa.
 
Back
Top Bottom