The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Usisahau pale makumbusho kuna barabara moja kalii inapita pale, mitaro mikubwa mpk ww unaingia, tena ukiwa umebebwa kichwani pia ghorofa za adabu zinajengwa pale, hebu jaribu cku utoke hapo kenya uje bongo zen pitia pale makumbusho uone tofauti ya kuishi Afrika na kuishi Afrika mpya co unamaliza maisha yako yote kuishi sehemu moja tuYani parklands alone is way better than ile kijikonyama yao tunaimbiwa hapa usiku na mchana. There are tall buildings all over. kijikonyama kuna vigorofa viwili along stretch moja ya barabara halafu tunapigiwa kelele hapa





