Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kuna sehemu inaitwa ilala sharif shamba huko kuna nyumba za adabu 😂😂👇👇subiri nipate muda nipite huku nikuletee nyumba za adabu hapa
7BB9F648-52CA-4F1E-B713-A46A2954931F.jpeg

70CD7AFA-0E74-4D53-9003-145C9F8106A1.jpeg
 
umesema inagorofa ngapi??? upperhill inagorofa ngapi 😂😂😂😂😂 ushuzi wa mende
Unalinganisha Upper hill na Kijitonyama??? 😂 😂 😂 😂 😂. Nilishakuambia ukojoe ulale
 
Unalinganisha Upper hill na Kijitonyama??? 😂 😂 😂 😂 😂. Nilishakuambia ukojoe ulale
upper hill ina nn ina density gani??😂😂😂maskini ya Mungu munakazi sana bado
 
mji hauna maji alaf wako bzy kushindana hapa😂😂😂😂😂👇👇👇

 
Back
Top Bottom