Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwhyo mtu akifa anapelekwa amana kw ajilibya vipimo sio...
Wacha kutetea ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
kwan vipimo vinafanyika amana pekee hvi we fala nn amana ni hospital ilitengwa kwa ajili ya corona na sio kwamba vipimo vyote vinafanyika amana, sasa nitetee ujinga inisaidie nn wakat nakwambia kitu wazi
 
kwan vipimo vinafanyika amana pekee hvi we fala nn amana ni hospital ilitengwa kwa ajili ya corona na sio kwamba vipimo vyote vinafanyika amana, sasa nitetee ujinga inisaidie nn wakat nakwambia kitu wazi
Kwhyo amana ni hospitali kw ajili ya wagonjwa wa corona au pia kunafanyiwa vipimo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom