Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umeambiwa ulete picha nyngine

Sent using Jamii Forums mobile app
kwan hii huitaki inashida gani😂👇👇👇 au imekukosea
878C2688-5FE5-46CF-9335-F813E133365C.jpeg
 
leo wakenya wanampangia kazi magufuli wanampangia mpaka sehemu yakuishi😂😂 sijapata kuona in my life yani nimecheka mpaka basi
 
kwan vifo havikuwepo kabla ya corona au magonjwa hayakuwepo kabla ya corona waty wanachoogopa sasa hvi ni kwamba mtu akifa lazma serekali ikamchukue kwa ajili ya vipimo ndio maana watu wanazika kimya kimya
Kwhyo mtu akifa anapelekwa amana kw ajilibya vipimo sio...
Wacha kutetea ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom