ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
mm hua sibishani nakupa ukweli tu 😂😂 ukikasirika poa ukifurahi poaLike...
Kakuacha mataani, ukimuona tena anabishana na nyie ni tag
Sent using Jamii Forums mobile app
mm hua sibishani nakupa ukweli tu 😂😂 ukikasirika poa ukifurahi poaLike...
Kakuacha mataani, ukimuona tena anabishana na nyie ni tag
Sent using Jamii Forums mobile app
Afya house huaga anaenda akiwa ikulu siohatoki lakini ikulu sawa![]()


Asiende dar bana, si IEBC yenu itashughulikia, si hata waziri mnae pia katika hyo sektaunampangua chakufanya kwan uchaguzi ushaanza au??? nini kazi ya waziri wa afya na nn kazi ya waziri mkuu au wanachukua mishahara bure???


kaenda lini hebu tujuze😂😂😂😂
hutaki ile picha iwe ilala au 😂😂😂
Kijiko ya nyamaposta
upanga
kariakoo
kijitonyama
yani hakuna density yoyote nairobi inaeza pambana na sehemu yoyote dar mark my words na kama unajiamini anzisha tuone![]()


waziri mkuu yupo waziri wa afya na wizara yake ipo unataka yeye akaponeshe wagonjwa au 😂😂😂 leo hii mumefkia hatu yakumpangia magufuli kazi yakufanyaAsiende dar bana, si IEBC yenu itashughulikia, si hata waziri mnae pia katika hyo sekta
Sent using Jamii Forums mobile app
Amana kunafanyiwa vipimo vya corona, swali simple tuvipimo vinafanyika sehemu tofaut tofaut ila amana ndio hopsital ya serekali imetengwa kwa ajili ya corona wapi unakwama wewe![]()

test zali uone kama utatoka wima hapa
Bwahaha!!!kumbe kaenda likizo kw ajili ya corona sio..sasawa..so rais akichukua likizo kwenda kwao ahame na main ikulu aende nayo






muhimbili wanafanya, amana wanafanya, etc
ndio unampangia chakufanya leo hii wakenya wanampangia rais magufuli kazi za kufanya mamaee 😂😂😂😂Yani rais yupo likizo halafu anawashauri watu wachape kazi..
Kweli jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli inakuuma sana, corona imewaumbua. Nchi ovyo, nawa hurumia tu. Weka vipicha vya Dar niburudike na uzuri (precisely the few developed selected area, the rest 90% tunakujua) flyovers zimefika ngapi?.,Ongelea Kenya ucongelee nchi za wengine, mm nmemeta projects za Tz, ss na ww lete za kenya uclete excuses hapa, zen leta ushahidi hapa kwmb over 80% ya wana DSM hawachangii chochote kwny uchumi wa nchi
Hata kura pia asiende dar awaachie waziri mkuu na waziri wa hyo sektawaziri mkuu yupo waziri wa afya na wizara yake ipo unataka yeye akaponeshe wagonjwa auleo hii mumefkia hatu yakumpangia magufuli kazi yakufanya



Ukumbe amana ni hospitali strictly kw ajili ya wagonjwa wala sio maiti..muhimbili wanafanya, amana wanafanya, etc
Anapangiwa eeendio unampangia chakufanya leo hii wakenya wanampangia rais magufuli kazi za kufanya mamaee![]()





