komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Usitoke nje ya mada kabisa, swali ni je!!mbna huaga hamjielewi km mnataka nn[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tatizo lako mgumu kuelewa, nimekuuliza unazifahamu aina ngapi za aerial photographs? Kama unazifahamu ungeelewa moja kwa moja kuwa aerial tunayo itaka ni high-oblique ukikosa hata lower oblique sawa tu na sio aerial photo unayo fikiria wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mara aerial, ikiletwa mnasema tu zoom[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
Sent using Jamii Forums mobile app