Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Halafu pia wajue ndio maana watanzania huwezi kuwalundika kwenye cages kama broilers na ndio maana miji yetu ni mikubwa na imetanuka sababu kila mtanzania anataka kuishi kwenye eneo lake kubwa lenye fance na garden kubwa

Tofauti na Wakenya wamezoea kuishi kwenye slums na kwenye cages, yaani wanalo somo kubwa sana la kujifunza kuhusu Tanzania.
Hahahaha hz fimbo tunazowapiga hawa wakora hawana hamu na cc, yn kimoyo moyo wanahisi bora nairaland kuliko hii battle [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Moshi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

EVQKlYdXgAESUR8.jpg
 
Hahahaha hz fimbo tunazowapiga hawa wakora hawana hamu na cc, yn kimoyo moyo wanahisi bora nairaland kuliko hii battle [emoji3][emoji3][emoji3]
😅😅😅😅 Yaani hawaamini macho yao

Wakenya wengi walio na exposure finyu kuhusu Tanzania ndio hujiona Kenya ipo matawi ya juu na mara nyingi hutumia vigezo vikuu vitatu kui undermine Tanzania

Hufikiria Tanzania ya 1970
Hufikiria kwamba pesa yao ipo juu
Hufikiria Tanzania hawajui kabisa English

Sasa kwa vigezo vya kipumbavu kama hivyo wakijilinganisha wao na sisi ndio huona kama wametupita kwenye kila kitu kumbe kiuhalisia Tanzania Ina good life standards kwa wananchi wengi ambao Kenya haiwezi kuwa nayo kwa miaka 20 ijayo.
 
Back
Top Bottom