Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,802
- 107,229
vifaa ni vya mkandarasi ila mara nyingi huwa wanauza vifaa hivi baada ya mradi! Pitia kampuni nyingi za barabara huuza vifaa kipindi cha kuondoka!safi [emoji122].. hiv mkandarasi akiwa anajenga mradi hapa nchini na akanunua mfano magari, coasters(shuttle) na vitendea kazi zingine.. vinakuwa ni mali yake au ya serikali?.. mradi uwe unajengwa kwa fedha za serikali