Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kitu yenyewe hiyo hapo,angalia iko kiwambaza hapo juu hamna nguzo yoyote,iliyoshikia,kwa vile ni ndugu yangu nilimuelekeza namna ya kufanya hapo zikae nguzo,nyumba kama hii TZ huwezi kujenga bila kibali,soon naifuta hii post mkuu 🤣,Geza Ulole hii ndio shida niliyoiona
Uyoga type! 😀 😀 😀 😀 !
 
Kitu yenyewe hiyo hapo,angalia iko kiwambaza hapo juu hamna nguzo yoyote,iliyoshikia,kwa vile ni ndugu yangu nilimuelekeza namna ya kufanya hapo zikae nguzo,nyumba kama hii TZ huwezi kujenga bila kibali,soon naifuta hii post mkuu [emoji1787],Geza Ulole hii ndio shida niliyoiona
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mkuu kumbe ndio maana huwa yanashuka
 
Kitu yenyewe hiyo hapo,angalia iko kiwambaza hapo juu hamna nguzo yoyote,iliyoshikia,kwa vile ni ndugu yangu nilimuelekeza namna ya kufanya hapo zikae nguzo,nyumba kama hii TZ huwezi kujenga bila kibali,soon naifuta hii post mkuu 🤣,Geza Ulole hii ndio shida niliyoiona
LOL hii nyumba imejengwa au imekandikwa?

Cheki hizo kozi za tofali zilivyokaa hovyo 😅😅😅😅

Hakuna pimamaji huko?
 
Kitu yenyewe hiyo hapo,angalia iko kiwambaza hapo juu hamna nguzo yoyote,iliyoshikia,kwa vile ni ndugu yangu nilimuelekeza namna ya kufanya hapo zikae nguzo,nyumba kama hii TZ huwezi kujenga bila kibali,soon naifuta hii post mkuu [emoji1787],Geza Ulole hii ndio shida niliyoiona
Dah mkuu hilo jeneza ucje ukaingia humo hata kwa bahati mby
 
Hivi hizi ni blocks au ni Vitu gani, I sawa this kule Pwani Kenya, ni kama Vimawemawe flani inafanya vinyumba vinakuwa vya Hovyo kabisa
Kitu yenyewe hiyo hapo,angalia iko kiwambaza hapo juu hamna nguzo yoyote,iliyoshikia,kwa vile ni ndugu yangu nilimuelekeza namna ya kufanya hapo zikae nguzo,nyumba kama hii TZ huwezi kujenga bila kibali,soon naifuta hii post mkuu [emoji1787],Geza Ulole hii ndio shida niliyoiona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3] hatari mkuu,kwa TZ ujenzi wa kuanzia ghorofa 1 lazima upeleke mchoro serikalini,jamaa kule wanajijengea tu,halafu ujenzi wao wanaamin kukandika cement nyingi tu,kwenye joint hizo nondo sasa [emoji3]
Nyinyi ndio akina nani mtufunze jinsi ya kujenga magorofa?....wakati gorofa la kwanza mlijenga 2013

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lifestyle Heights Ruiru
images-5.jpeg
images-6.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom