Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio muwe na msimamo, huaga hamjielewi mnataka nn..mkiletewe aerial mnasema tu zoom[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mara tena mnajichanganya mnataka aerial, yani hamjui km mnataka nn haswa

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lako mgumu kuelewa, nimekuuliza unazifahamu aina ngapi za aerial photographs? Kama unazifahamu ungeelewa moja kwa moja kuwa aerial tunayo itaka ni high-oblique ukikosa hata lower oblique sawa tu na sio aerial photo unayo fikiria wewe 😂😂😂😂
 
Suburbs za Nakuru ni better kuliko za mwanza+iringa+arusha+moshi combined
images - 2020-04-11T151343.900.jpeg
images - 2020-04-11T150830.084.jpeg
images - 2020-04-11T150838.081.jpeg
images - 2020-04-11T150916.622.jpeg
 
If kibera was better planned indeed ingechapa hii moshi[emoji23][emoji23],,bahati ni kuwa huu usawazi wa moshi umepangwa vizuri na kuwekwa rami[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kdg kdg akili zinaanza kukurudia [emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom