Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tatizo mnajenga bila kuzingatia mfumo wa BRT na TRAM wakati sisi tunazingatia mfumo wa brt kwenye kila ujenzi wa flyover na interchange na barabara zote tunazo jenga hadi sgr yetu tumezingatia mfumo wa brt ndiyo maana tunajenga cable bridge ya sgr kwakuwa chini barabara itakuwa na upana wa kutosha kujenga BRT system

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya haya baada ya kuwa kimya muda mrefu sasa tunauwasha moto tena

Ubungo Flyover hiyooooo

1583309190257.png


1583309340275.png
 
Mm nina swali yangu kuhusu wakenya
1)hivi hapo slum mnapo ishi ,Jidume zima linajitamba kuwa lina miliki makaazi
2) Vidume vya Kenya vinatongoza Demu na kumpeleka kabisa kwenye hayo makaazi ya slum!!!!!!? na Demu unakubali na kujiona uko na pedejeee!!?.
YANI NIMEANZA KUJIULIZA SANA ILI SWALI " THE VALUE OF KENYA'S GIRLS" how they sex in slums and fill comfortable ??
Hizo ndizo treni zenu officially
View attachment 1376138

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We can't afford according to mtu aliyezoea kuishi kwenye slums na kuvuta hewa chafu na harufu ya vinyesi,
Nyie mnaoweza kuafford mbona asilimia kubwa ya wakazi wa Nairobi wanaishi kwenye bati after bati 😂😂😂
Najua mnatamni sana tuwe kama nyinyi ila hatuwezi. Hizo dream houses zenu zilizotapakaa kila mahali ziko tu kwenye slums huku kwetu. Huwezi pata nyumba kama hizo nje ya slums za Nairobi hata uende hadi wapi
 
Tatizo mnajenga bila kuzingatia mfumo wa BRT na TRAM wakati sisi tunazingatia mfumo wa brt kwenye kila ujenzi wa flyover na interchange na barabara zote tunazo jenga hadi sgr yetu tumezingatia mfumo wa brt ndiyo maana tunajenga cable bridge ya sgr kwakuwa chini barabara itakuwa na upana wa kutosha kujenga BRT system

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahero is a small shopping center in interior part of Nyanza in Kenya, about 30 kilometres from Kisumu. What's the need of building BRT in such a small trading center? Ana siku hizi BRT zinajengwa kila mahali?

Secondly, that road is part of Lake Victoria ring road that traverses five counties. It starts in Busia County and ends at Muhuru Bay in Migori county covering a total of 470 kilometres
 
Mm nina swali yangu kuhusu wakenya
1)hivi hapo slum mnapo ishi ,Jidume zima linajitamba kuwa lina miliki makaazi
2) Vidume vya Kenya vinatongoza Demu na kumpeleka kabisa kwenye hayo makaazi ya slum!!!!!!? na Demu unakubali na kujiona uko na pedejeee!!?.
YANI NIMEANZA KUJIULIZA SANA ILI SWALI " THE VALUE OF KENYA'S GIRLS" how they sex in slums and fill comfortable ??

Sent using Jamii Forums mobile app
Of course you fill comfortable here
Screenshot_20200228-131735.png
Screenshot_20200228-131720.png
Screenshot_20200218-010839.png
Screenshot_20200216-004315.png
images(28).jpg
Screenshot_20190801-183703.png
Screenshot_20190801-183601.png
images(289).jpg


And I also feel comfortable here
images (21).jpeg
images (69).jpeg
images(348).jpg
images(288).jpg
5fcb4b4e56988000ce83e557f9317781.jpg
images(320).jpg
images(309).jpg
2288243_kariobangi206.jpeg
Screenshot_20190817-111812.png
Screenshot_20190812-111717.png
Screenshot_20190806-213131.png
Screenshot_20190927-230342.png


Why do you think that we should fill the same?
 
Back
Top Bottom