Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hii kidogo tu ushaanza kuharisha.. ikija yenyewe je!
google tu trains sold to tanzania.. thou hio habari ni ya zaman 2014 hiv
Trains sold to tanzaniaduh!!hii hatari walai..

Mbona ndege mkinunua huaga mnazipiga picha kw mbwembwe hata kabla ya kuwasili nchini...
Lkn sai mambo kimya, waziri wenu kashindwa hata kuvipiga na kuviposti twitter km kawaida yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Trains sold to tanzaniaduh!!hii hatari walai..

Mbona ndege mkinunua huaga mnazipiga picha kw mbwembwe hata kabla ya kuwasili nchini...
Lkn sai mambo kimya, waziri wenu kashindwa hata kuvipiga na kuviposti twitter km kawaida yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe tulia basi bullet train soon utaoneshwa na sio hzo kwann unaharisha ovyo sana🤣🤣🤣🤣
 
hii kidogo tu ushaanza kuharisha.. ikija yenyewe je!
google tu trains sold to tanzania.. thou hio habari ni ya zaman 2014 hiv
Ziko wapi Tanzania Kila mtu ashuhudie? Huwezi sema uko na gari wakati kile tunakuona nacho ni baskeli.
 
Hvi unajua maana ya test trains unajua maana yake au wivu unakusumbua😁😁😁😁😁
Wivu juu ya treni hizi? Hizi ndizo ziko Tz kwa Sasa ni rangi tu watabadilisha ziwe Kijani.
Screenshot_20200302-105450.png
 
Back
Top Bottom