Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Najua mnatamni sana tuwe kama nyinyi ila hatuwezi. Hizo dream houses zenu zilizotapakaa kila mahali ziko tu kwenye slums huku kwetu. Huwezi pata nyumba kama hizo nje ya slums za Nairobi hata uende hadi wapi
Sasa kama asilimia kubwa ya wakazi wa Nairobi wanaishi kwenye slums na wengine kwenye mabox ambayo mchanga unamomonyoka kutokana na kujengwa chini ya kiwango 😂😂😂
Hapana asee kwa kweli sisi watanzania hatuwezi kuishi mazingira mabovu na machafu kama hayo,
Yaani unaishi sehemu ambayo hakuna huduma zozote za muhimu kwa Jamii...iyo ibaki huko huko.
 
LOL what should we say if kenyatfa is a slum citizen 😂😂😂😂😂
Screenshot_20200228-060353.png
 
Mm nina swali yangu kuhusu wakenya
1)hivi hapo slum mnapo ishi ,Jidume zima linajitamba kuwa lina miliki makaazi
2) Vidume vya Kenya vinatongoza Demu na kumpeleka kabisa kwenye hayo makaazi ya slum!!!!!!? na Demu unakubali na kujiona uko na pedejeee!!?.
YANI NIMEANZA KUJIULIZA SANA ILI SWALI " THE VALUE OF KENYA'S GIRLS" how they sex in slums and fill comfortable ??

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuko hapa Ubongo slums sijiui vipi mnahave "sex" kwa such slums bila umeme
Screenshot_20200304-203008.png
Screenshot_20200304-203055.png
Screenshot_20200304-203008.png
Screenshot_20200304-202902.png
 
Mtu anawasha jiko afiche aibu lakini hana chakupika na ananjaa hvi hawa watu wana maisha gani 🙁🙁 hvi unaficha njaa huku unakufa kisa mzungu asikuone unanjaa dah

 
Mtu anawasha jiko afiche aibu lakini hana chakupika na ananjaa hvi hawa watu wana maisha gani 🙁🙁 hvi unaficha njaa huku unakufa kisa mzungu asikuone unanjaa dah


Mwenyezi Mungu awanusuru, nimecheki hiyo video hapo kwenye link: Wakenya walalamikia ongezeko la gharama ya maisha mpaka huruma. Wanasiasa wawe makini sana maana maamuzi yao yanachangia kiasi kikubwa sana hali kama hizi
 
Sasa kama asilimia kubwa ya wakazi wa Nairobi wanaishi kwenye slums na wengine kwenye mabox ambayo mchanga unamomonyoka kutokana na kujengwa chini ya kiwango 😂😂😂
Hapana asee kwa kweli sisi watanzania hatuwezi kuishi mazingira mabovu na machafu kama hayo,
Yaani unaishi sehemu ambayo hakuna huduma zozote za muhimu kwa Jamii...iyo ibaki huko huko.
Of course hamuwezi ishi mazingira mabovu. Mnaishi mazingira mazuri sana as you can see below 😂 😂
Screenshot_20200216-004315.png
Screenshot_20200218-010839.png
images(54).jpg
Screenshot_20190801-184138.png


Show me anywhere in Nairobi that looks like those places above kama sio slum
 

Attachments

  • Screenshot_20200228-131720.png
    Screenshot_20200228-131720.png
    250.5 KB · Views: 5
Back
Top Bottom