Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahaha, eti interchange?, hivi mnajua maana ya neno "Interchange", Kenya haitoweza kujenga "Interchange" ndani ya kipindi cha miaka 20 ijayo, mtaendelea kujenga hizo flyovers zenu za vichuguu pekee

Sent using Jamii Forums mobile app
Imagine hiyo ni Webuye. Tuonyeshe kama hiyo ya Arusha ama Mwanza 😂 😂 😂 😂
 
Key word kununua......Mexico supplies 70% of fruits and vegetables to USA without much drama. Why do tanzanians personalize everything.....lol.Hii page imefanya mnacatch feelings sana.....but even a fool knows Kenya is better than all countries in East and central Africa despite our shortcomings.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ndio akili ya bongolala. very shortsighted people.
 
Tatizo lenu mnajisifia mno na sahivi mtasubiri sana tumejenga viwanda so mkija lazima tuwape masharti hamtaki mkalime kwenu.
Viwanda nazo mnajenga, sio siri 😂 😂 😂
1849697_SERIKALI_YA_VIWANDA_BONGO.jpg
 
Mtanzania atamani kuishi kwenye mabox 😂😂😂 maajabu,
Hilo umesema wewe.
Mtatamani aje when you can't afford them? The only thing you can afford are those squalors christened dream houses
 
Mtatamani aje when you can't afford them? The only thing you can afford are those squalors christened dream houses
We can't afford according to mtu aliyezoea kuishi kwenye slums na kuvuta hewa chafu na harufu ya vinyesi,
Nyie mnaoweza kuafford mbona asilimia kubwa ya wakazi wa Nairobi wanaishi kwenye bati after bati 😂😂😂
 
Back
Top Bottom