Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Sasa Nai kuna ziwa au bahari? Sindano imekolea πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰
Mombasa kisumu hakuna kwani??? Likoni bridge toka mumeanza kutangaza ni miaka 50 sasa πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Munajifanya kujitapa hapa na hakuna kitu mumefanya cha maanaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Ole wangu ,kumbe CBD ya Dar barabara zake zinakaa kama Isiolo ama mathare ambapo lami ni kidogo sana? Now you see why Dar can't be the headquarters of int'l companies like Nairobi?
Barabara siyo rami tu wala siyo bora rami tunataka cbd yetu iwe ya kisasa Kwa kuwa quality
 
Huo jichoboy huaga ywajichanganya tu...eti kisha ywaiita huruma slum wakati kuna ghorofa kibao na watu wamepanga kisha dar zile dream houses anakataa km zimepitwa na huruma
Uchafu kama huo mtu anakuambia sio slums ni informal settlement ukiambiwa mnatumia less than 1% of your brain CPU capacity mnatoa povu,uungwana ni kukubali.Unfortunately the whole country iko na slums tupu sijui hamuoni aibu with your dream houses
 
Huo jichoboy huaga ywajichanganya tu...eti kisha ywaiita huruma slum wakati kuna ghorofa kibao na watu wamepanga kisha dar zile dream houses anakataa km zimepitwa na huruma
Sio mm usinilaumu ni google earth mzungu sio mjingaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
8EA15272-3E7E-4654-B115-26C5AB30DA29.png
 
Back
Top Bottom