Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani wakati mnasherekea 1.5 million tourists sisi tuko 2 million! Number yetu mtasoma milele. Cha kushangaza ni kwamba nyinyi ndio wakubalike pili baada ya Waamerika kuja kutalii Kenya. Leteni kabisa hizo hela za madafu zenu tujenge nayo uchumi
N yet u earned lesser revenues than Tanzania
 
Yani wakati mnasherekea 1.5 million tourists sisi tuko 2 million! Number yetu mtasoma milele. Cha kushangaza ni kwamba nyinyi ndio wakubalike pili baada ya Waamerika kuja kutalii Kenya. Leteni kabisa hizo hela za madafu zenu tujenge nayo uchumi
Kama kawaida yenu, ninyi mnafurahia idadi ya watalii, sisi tunafurahia idadi ya pesa. It is shame to have big number of tourist but revenue is almost half of what we get from tourism, that is what is known as "Working intelligently". Hahahaha, hahahaha.
 
Kama kawaida yenu, ninyi mnafurahia idadi ya watalii, sisi tunafurahia idadi ya pesa. It is shame to have big number of tourist but revenue is almost half of what we get from tourism, that is what is known as "Working intelligently". Hahahaha, hahahaha.

Hahaha ndio hicho nilikua namwambia 😆😆😆😆😆
 
Yani wakati mnasherekea 1.5 million tourists sisi tuko 2 million! Number yetu mtasoma milele. Cha kushangaza ni kwamba nyinyi ndio wakubalike pili baada ya Waamerika kuja kutalii Kenya. Leteni kabisa hizo hela za madafu zenu tujenge nayo uchumi
What about hela mnayopata nahis haijafika 1bn usd.number kubwa ila hela chache
 
Usijisumbue na mapicha mob.....posta,kariakoo na upanga ndio hizi hapa
tapatalk_1559917735286.jpeg
 
Back
Top Bottom