ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Magu anawatoa uharo kila kukicha😆😆😆Hoja ni ugly design
Magu anawatoa uharo kila kukicha😆😆😆Hoja ni ugly design
Kama unapajua sasa unaropoka nini hakuna red soil kule? Unajichekesha nini unawashwa?Ahahaha kama huna ushahidi pumzika ww unafkiri mm sipajui bunyokwa 😆😆😆
Show me one good suspension bridge design in Kunyaland! Start with 100m long!Hoja ni ugly design
Hakuna red soil bunyokwa unless uniletee ushahidi hapa na sio porojo 😆😆😆😆 punguza hasira ukipata red soil bunyokwa tag meKama unapajua sasa unaropoka nini hakuna red soil kule? Unajichekesha nini unawashwa?
Show me one good suspension bridge design in Kunyaland! Start with 100m long!
Hata ziwe 12 lanes ni mbaya na inamuonekano wa kishamba wivu wa nini huu ni ukweli
Ugly render,design gani hiyo ya kichoko.Yaani a more than 3km suspension bridge badala iwe na eye apealing inakuwa ugly hivyo?
Acha unisumbue na kunitesa ila hiyo poor and ugly designChuki na wivu unakusumbua sana alafu unateseka bure
Acha unisumbue na kunitesa ila hiyo poor and ugly design
😫😫😫😫Wivu kitu kibaya sana [emoji23][emoji23][emoji23]
acha uchoko atutengenezi urembo sisi dhahabu zimejaa kibao apo mwanza tunaweza weka nakshi lote ila lipo kwaajiri ya huduma sio lazim madaraja yote yafanane.Acha unisumbue na kunitesa ila hiyo poor and ugly design
Tunahitaji dreamliner zingine kila moja ikamate route yakeAirtanzania on higher business horizons
View attachment 1166028View attachment 1166029View attachment 1166030
mwisho wa mwaka huu zitakuwa zimekuja ndege nne. Dreamliner moja, airbus mbili na bombardier q400 next gen. trips za china zitaanzaTunahitaji dreamliner zingine kila moja ikamate route yake
Airbus hazitafika mwisho wa mwaka huumwisho wa mwaka huu zitakuwa zimekuja ndege nne. Dreamliner moja, airbus mbili na bombardier q400 next gen. trips za china zitaanza
Ikija dreamliner nyingine Guangzhou itakuwa rahisi...plus London can startTunahitaji dreamliner zingine kila moja ikamate route yake
mwisho wa mwaka huu zitakuwa zimekuja ndege nne. Dreamliner moja, airbus mbili na bombardier q400 next gen. trips za china zitaanza
Kwani mnafikiria hata kuwa na render tu kama hii hapo Nairobi au umeshiba makandeUgly render,design gani hiyo ya kichoko.Yaani a more than 3km suspension bridge badala iwe na eye apealing inakuwa ugly hivyo?