danja de genzo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 544
- 812
lengo la DMDP ni ilo tiari iko ela ilitengwa na ujenzi unaendelea .Hapo sawa Ila tumuimize raisi aweke hela ya kujenga barabara za cbd yetu vizuri ujenzi uzingatie njia za watembea Kwa miguu pia kama tukijenga km100 tu za cbd yetu tutakuwa tumefanya jambo la maana . wakina makonda na meya wa jiji letu hakuna kitu wanafanya bado mitaa ya cbd mingine aina rami hii kitu inaniudhi kishenzi