Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapo umejisema, kujionyesha ni kukopa hela nyingi ili ili budget iwe kubwa uonekane una gdp kubwa. Ila userious ni kufanya vitu chanya ambavyo haviwezi kuwa mzigo.
Wahenga walisema mchumia juani hulia kivulini, kauli hii ipo kinyume kwa baadhi ya wajinga "Kenyua kivulini ukalie juani"
Bwahahaa...sasa kati ya kenya na tanzania ni nani huo msemo unamlenga sana...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hata marekani pia wana deni la $1trillion kutoka china...
So kukopa kufadhili bajeti ni bora zaidi kuliko kungojea mgao kutoka kw mabeberu...aka waume zenu...

Ile siku mtafikisha deni la $50bln tanzania...nchi inaporomoka kabisa
 
Zisingekuwa siasa nyepesi Magufuli anastahili kuongezewa muda zaidi ili akamilishe na kuimalisha miradi mikubwa aliyoianzisha na anayotegemea kuianzisha.
Na kodi pia zizidi kuongezeka kila sekta pia..km ya uwepo wako tanzania, kodi ya kuvuta hewa
 
Sisi siyo kama nyie munaoibiwa na Jubilee kwenye kila mradi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu...lipa kodi...huo ndo ushauri wangu kwako...manake ukikwepa tu unaitwa mpiga dili
 
TATU CITY
1129260
 
Back
Top Bottom