Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Kazi ya Sumry hiyo moja ya makampuni ya kizalendo yenye makao makuu sumbawanga
Of course good job but serikali kama iko xriac ku win potential ya drc no lazima izijenge bandari za kabwe,new kipili port,kasanga,Karema na Kigoma sanjali na barabara za kufika huko bandarini,pili road ya Matai to Zambia
 
Kazi ya Sumry hiyo moja ya makampuni ya kizalendo yenye makao makuu sumbawanga
Of course good job but serikali kama iko xriac ku win potential ya drc no lazima izijenge bandari za kabwe,new kipili port,kasanga,Karema na Kigoma sanjali na barabara za kufika huko bandarini,pili road ya Matai to Zambia
Kwani upo Dunia ipi? BTW it's sanjari and not sanjali!
 
Nyang'au wanajitia kukakamaa tuu ila kiukweli wanakubali kuwa kasi hii hawaiwezi.
- SGR
- Rufiji dam
- MGR
- ndege
- terminal 3
- daraja la cocobeach
- flyover
- barabara
- BRT
- Meli
- bandari
Hizi zote zinafanyika kwa wakati mmoja.
Wabongo wanavyoongea as if wengine wamesimama,too late to catch up kumbuka watu wana GDP ya 100bln dolari sio leo au kesho kufikia hapo
Kila statistics inayotolewa inaiweka Tzn nyuma sana kwa Kenya ko muda wa kukenua meno bado sana
 
Wabongo wanavyoongea as if wengine wamesimama,too late to catch up kumbuka watu wana GDP ya 100bln dolari sio leo au kesho kufikia hapo
Kila statistics inayotolewa inaiweka Tzn nyuma sana kwa Kenya ko muda wa kukenua meno bado sana
Hua napenda sana wakenya wakiongelea GDP maana huo ndio ujinga uliopo akilini mwao hahahaga na huo ujinga ndio utafanya mkija kuamka tz itakua yaaniii hahahahah yajayo yanafurahisha
 
Hua napenda sana wakenya wakiongelea GDP maana huo ndio ujinga uliopo akilini mwao hahahaga na huo ujinga ndio utafanya mkija kuamka tz itakua yaaniii hahahahah yajayo yanafurahisha
Huku ni kujifariji ndugu,100bln economy inakua kwa 6% huku 55bln economy inakuwa kwa 7%
Hivi mko xiriac kweli nyie ldc,mtakimbiza mwizi hadi mfe njiani bila kumkamata
 
Huku ni kujifariji ndugu,100bln economy inakua kwa 6% huku 55bln economy inakuwa kwa 7%
Hivi mko xiriac kweli nyie ldc,mtakimbiza mwizi hadi mfe njiani bila kumkamata
Hiyo 100bn economy inayokua kwa asilimia 6 ni ya nchi gani
 
Wabongo wanavyoongea as if wengine wamesimama,too late to catch up kumbuka watu wana GDP ya 100bln dolari sio leo au kesho kufikia hapo
Kila statistics inayotolewa inaiweka Tzn nyuma sana kwa Kenya ko muda wa kukenua meno bado sana
Tuonyeshe maendeleo yanavyofanyika, acha kuzungumzia "theory za cooked figure, GDP lazima ionekane inachokifanya, otherwise endeleeni kuimba GDP sisi tunafanya mambo "on the ground"
 
Kazi ya Sumry hiyo moja ya makampuni ya kizalendo yenye makao makuu sumbawanga
Of course good job but serikali kama iko xriac ku win potential ya drc no lazima izijenge bandari za kabwe,new kipili port,kasanga,Karema na Kigoma sanjali na barabara za kufika huko bandarini,pili road ya Matai to Zambia
Wewe hua haueleweki Ni mtz au mkenya ,pili unaongea vitu vingi chenga chenga tu

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Huku ni kujifariji ndugu,100bln economy inakua kwa 6% huku 55bln economy inakuwa kwa 7%
Hivi mko xiriac kweli nyie ldc,mtakimbiza mwizi hadi mfe njiani bila kumkamata
Acha ujinga wewe, onyesha hiyo $100B inafanya nini on the ground, au ipo kwa ajili ya kuitazama?. Sisi tumekutajia miradi mikubwa mitatu inayofanya na GDP yetu, wewe tuambia mradi mmoja pekee unaofanywa na hiyo $100B wenye thamani ya $1B.
 
😫😫😫😫 Wewe concetrate kwa hoja zangu tu
Hizo statistics huwa mnazitoa wapi?

Hakuna GDP yoyote Kenya ya kuizingua Tanzania, wote tupo sawa
20190615_190337png.png
20190615_190509png.png
 

Attachments

  • 20190615_190433png.png
    20190615_190433png.png
    35.6 KB · Views: 26
Back
Top Bottom