Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni sawa..labda siku za usoni tender nitapata tu. Ninachosisitizia ni eti mnafadhili kwa pesa za ndani.

There is no shame in borrowing to finance a project..its a shame on the other hand to be fed propaganda and actually believing it.

Lakini kama kweli mnafadhili wenyewe heko kwenu.[emoji122]
Mbona miradi tuliyokopa tunawaambia na hampingi mnakubali, lakini ile ambayo tunajenga kwa pesa za ndani tukiwaambia mnapinga?. Ukweli ni kwamba mpo na wivu kuona kwamba, miradi ambayo Kenya imeshindwa kujenga kwa pesa yake, Tanzania tunaweza.

Kitendo cha Kenya kushindwa kumalizia reli hadi Kisumu baada ya China kukataa kutoa pesa, kinawafanya muwe na wivu zaidi na Tanzania inayoendelea ujenzi kwa pesa yake.

Kama ni propaganda, vipi mbunge wa upinzani aweze kukiri kwamba kila mwaka serikali inatenga pesa kwa ajili wa hiyo miradi?,
 
Mbona miradi tuliyokopa tunawaambia na hampingi mnakubali, lakini ile ambayo tunajenga kwa pesa za ndani tukiwaambia mnapinga?. Ukweli ni kwamba mpo na wivu kuona kwamba, miradi ambayo Kenya imeshindwa kujenga kwa pesa yake, Tanzania tunaweza.

Kitendo cha Kenya kushindwa kumalizia reli hadi Kisumu baada ya China kukataa kutoa pesa, kinawafanya muwe na wivu zaidi na Tanzania inayoendelea ujenzi kwa pesa yake.

Kama ni propaganda, vipi mbunge wa upinzani aweze kukiri kwamba kila mwaka serikali inatenga pesa kwa ajili wa hiyo miradi?,

Wengi wao ni mafala..
 
Unajua komora sijajua rika lako lina range wapi BT mimi ka mtz najua tulipotoka na aina ya uongozi tuliokua nao... Tz ni nchi yangu na naishi tz so najua uwezo wa nchi yangu kama tungeamua kuwa serious toka zamani...
Napata nguvu ya kupaza sauti na kuona mwanga maana atleast tumepata mtu anajali Mali za nchi hii na kajitoa kwa dhati, hilo kwetu ni ushindi tayari.. Haijalishi tutatumia muda gani kufika tutakako Ila tunashukuru Mzee anainstall system ambayo hata nyie jirani mtaanza kuona faida ya Mali mlizokua mnatucheka tuliposhindwa zitumia kwa busara.
We're in the right track...
Hyo kwanza ndio anauwa uchumi kabisa...
 
1) SGR, Dar to Dodoma $3.9B
2) Ununuzi wa ndege 8 za ATCL $1.02B
3) Rufiji hydroelectricity $2.9B
Hahahahaha, Hahahahaha, hahahahaha.
Nitajie hapo katika hyo list kipi hakipo kenya..na je kinafanya kazi kw mda gani...bwahahaaa...

Nynyi ni sawa na mtoto anayejifundisha kusimama dede..."kasimama peke yake, mbele ya baba yake"sasa huaga anajikuta fahari...hta babake anapotaka kumbeba hukataa na kujiona aanaweza...kumbe maskini bado hajielewi km angali mdogo kila sekta
 
Taja mradi mmoja ambao, uliofanywa na GDP yenu wenye thamani ya $1B. Hahahahaha, endeleeni kuimba GDP, pesa yote mnagawana mishahara, na inayobaki inaishia katika mifuko ya wakikuyu, makabila mengine yanaishia Kibera.
Omba omba na wachuuzi wa mitumba ukumbuke pia wanaishi hko hko kibera...bwahahaa...usiahau wanubi na waganda pia...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sawa hata huo ni mtazamo pia
Si mtazamo...ndio ukwel...km jamaa anakopa kisha hataki kukiri, anawabambikizia mikodi ambayo hata haina tija latika karne hii...mi sijaona nchi eti kuna baadhi ya biashara zinafungwa kisa kodi...
 
Si mtazamo...ndio ukwel...km jamaa anakopa kisha hataki kukiri, anawabambikizia mikodi ambayo hata haina tija latika karne hii...mi sijaona nchi eti kuna baadhi ya biashara zinafungwa kisa kodi...
Sipo hapa kubishana au kukufanya uwaze ninavyowaza kama kwako huo umeona ni ukweli basi sawa ni mtazamo wako kila mtu yupo free kuwaza atakavyo anko
 
Sipo hapa kubishana au kukufanya uwaze ninavyowaza kama kwako huo umeona ni ukweli basi sawa ni mtazamo wako kila mtu yupo free kuwaza atakavyo anko
We basi unamtazamo gani...nyote mnaongea kitu kimoja...uanfikiria maneno yenu hatuyajui...kwn nani aliyeanza kusema pesa za ndani...si ni mkulu, we ni fuata upepo tu...mi hakuna siku nitamuamini rais kw asili mia moja...
 
Na mi nataka kukujuza ya kwamba...hayo sio maendeleo..bali ni kutaka kufanya vitu kw misifa ili kumuonyesha aliye juu km na wewe una uwezo...

Mtaka yote

Hapo umejisema, kujionyesha ni kukopa hela nyingi ili ili budget iwe kubwa uonekane una gdp kubwa. Ila userious ni kufanya vitu chanya ambavyo haviwezi kuwa mzigo.
Wahenga walisema mchumia juani hulia kivulini, kauli hii ipo kinyume kwa baadhi ya wajinga "Kenyua kivulini ukalie juani"
 
Ni sawa..labda siku za usoni tender nitapata tu. Ninachosisitizia ni eti mnafadhili kwa pesa za ndani.

There is no shame in borrowing to finance a project..its a shame on the other hand to be fed propaganda and actually believing it.

Lakini kama kweli mnafadhili wenyewe heko kwenu.👏

Usipoamini kwa report utaamini kwa matokeo
 
Back
Top Bottom