Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1128474
 
Acha ujinga wewe, onyesha hiyo $100B inafanya nini on the ground, au ipo kwa ajili ya kuitazama?. Sisi tumekutajia miradi mikubwa mitatu inayofanya na GDP yetu, wewe tuambia mradi mmoja pekee unaofanywa na hiyo $100B wenye thamani ya $1B.
Joto la jiwe Mzee tuwashukuru walituamsha tulipokua tumelala... Si unajua msemo usimwamshe aliyelala utalala weweee!!! Ni zao yao sasa kuuchapa usingizi hebu tuwaache walale wale kidogo atakapokua anaondoka Mzee Magu ndio tuwaamshee washangae vizur
 
Wabongo wanavyoongea as if wengine wamesimama,too late to catch up kumbuka watu wana GDP ya 100bln dolari sio leo au kesho kufikia hapo
Kila statistics inayotolewa inaiweka Tzn nyuma sana kwa Kenya ko muda wa kukenua meno bado sana
With 64% debt to GDP ratio😆😆😆
 
Acha ujinga wewe, onyesha hiyo $100B inafanya nini on the ground, au ipo kwa ajili ya kuitazama?. Sisi tumekutajia miradi mikubwa mitatu inayofanya na GDP yetu, wewe tuambia mradi mmoja pekee unaofanywa na hiyo $100B wenye thamani ya $1B.

Akikuonesha nitag😆😆😆
 
Nyang'au wanajitia kukakamaa tuu ila kiukweli wanakubali kuwa kasi hii hawaiwezi.
- SGR
- Rufiji dam
- MGR
- ndege
- terminal 3
- daraja la cocobeach
- flyover
- barabara
- BRT
- Meli
- bandari
Hizi zote zinafanyika kwa wakati mmoja.
So hicho ndicho kigezo cha kwamba tanzania imeendelea...vitu ambavyo wengine wanvyo na vinafanya kazi zaidi ya miaka ya kuhesabu...

Duh!!kwel..maskini akipata matako hulia mbwata..nimeamini leo sasa..
 
Wabongo wanavyoongea as if wengine wamesimama,too late to catch up kumbuka watu wana GDP ya 100bln dolari sio leo au kesho kufikia hapo
Kila statistics inayotolewa inaiweka Tzn nyuma sana kwa Kenya ko muda wa kukenua meno bado sana
Hawa jamaa wanaona ni km dunia imesimama...ni kwao tu ndiko kuna miradi
 
Acha ujinga wewe, onyesha hiyo $100B inafanya nini on the ground, au ipo kwa ajili ya kuitazama?. Sisi tumekutajia miradi mikubwa mitatu inayofanya na GDP yetu, wewe tuambia mradi mmoja pekee unaofanywa na hiyo $100B wenye thamani ya $1B.
Enheeee!!!tumewazidi barabara,umeme,literacy level,niendelee
 
Tuna miradi worth billions of dollars, sgr for example, halafu ni fedha za ndani. Unataka niendelee.
Enheeee!!kwhyo kenyan sgr ina worth millions...nitajie mwngne...nataka nione ujinga wenu leo..yani game pole pole hamna matusi please
 
So hicho ndicho kigezo cha kwamba tanzania imeendelea...vitu ambavyo wengine wanvyo na vinafanya kazi zaidi ya miaka ya kuhesabu...

Duh!!kwel..maskini akipata matako hulia mbwata..nimeamini leo sasa..
Nitajie nchi iliyowahi kufanya miradi yote hiyo kwa mpigo, Afrika.
Kemu wewe tuonyeshe huo mradi wa $1bln
Mradi wa Rufiji hydroelecric power $3.9Billion ni mkubwa kuliko maradi wowote mliowahi kufanywa kenya toka dunia iumbwe (kenya SGR ni $3.6 Billion).
Talking about bigger than... 😉
 
Nitajie nchi iliyowahi kufanya haya yote kwa mpigo Afrika.

Mradi wa Rufiju hydroelecric power $3.9Billion ni mkubwa kuliko maradi wowote mliowahi kuufanya kenya toka dunia iumbwe (kenya SGR ni $3.6 Billion).
Talking about bigger than... 😉
Kwhyo kw kufanya kw mpigo ndicho kigezo cha kuwa nyinyi ni bora afrika nzima...asante sana kw kunijuza km wewe ni ccm machine
 
Nitajie nchi iliyowahi kufanya miradi yote hiyo kwa mpigo, Afrika.

Mradi wa Rufiji hydroelecric power $3.9Billion ni mkubwa kuliko maradi wowote mliowahi kufanywa kenya toka dunia iumbwe (kenya SGR ni $3.6 Billion).
Talking about bigger than... 😉
Kwhyo rufiji ndio dam ya kwanza tanzania au
 
Back
Top Bottom