Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We basi unamtazamo gani...nyote mnaongea kitu kimoja...uanfikiria maneno yenu hatuyajui...kwn nani aliyeanza kusema pesa za ndani...si ni mkulu, we ni fuata upepo tu...mi hakuna siku nitamuamini rais kw asili mia moja...

Buda kuna miradi tunafanya kupitia mikopo mbalimbali. mfano ring roads dom from afdb, msimbazi from world bank n.k ila watanzania wanapata ajira, wanajifunza vitu vipya na at the end tutafanya maintenance wenyewe na pia tutajiendesha wenyewe kuilipo hiyo mikopo, tofauti na nyie mnapewa mikopo, hampewi ajira na kwa wachache waliopata wanapewa ujuzi kiduchu mwisho wa siku hadi maintenance hamuwezi kufanya na mbaya zaidi wanaendesha mradi ni waliowakopesha na huku mkiendelea kulipa mikopo.
Na bado huawei anataka kuwekeza konza huku mnahost jeshi kambi ya jeshi la marekani.
Unajua ule msemo unaosema mafahali wawili wakipigana nyasi zinalala? Umebakiwa kuomba dua mabaya yasikukute maana hamna uwezo kwa sasa wa kudecide future ya nchi yenu. ukishakuwa malaya usiyejua kuamua kubaki na mume moja siku watapigania nyumbani kwako wakuvunjie nyumba
 
JPM where are you heading us to? You treat this country so fine😍😍😍😍😍😍


Great news!!!!! sasa washushe mkitu mzito kama mlonganzila. Medical tourism nayo naiona inakuja kama Colombia in Latin America na India huko Asia.
 
Bwahahaa...sasa kati ya kenya na tanzania ni nani huo msemo unamlenga sana...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hata marekani pia wana deni la $1trillion kutoka china...
So kukopa kufadhili bajeti ni bora zaidi kuliko kungojea mgao kutoka kw mabeberu...aka waume zenu...

Ile siku mtafikisha deni la $50bln tanzania...nchi inaporomoka kabisa
Wee jamaa una ndoto za bunuazi. Marekani anadaiwa na mchina na huku anauwezo wa kumtunishia misuli ilhali nyie mnatukanwa na mchina na mambo chungunzima kwa kadeni ka $8 billion. unaona tofauti hapo? Hivi wewe unajielewa?
 
Buda kuna miradi tunafanya kupitia mikopo mbalimbali. mfano ring roads dom from afdb, msimbazi from world bank n.k ila watanzania wanapata ajira, wanajifunza vitu vipya na at the end tutafanya maintenance wenyewe na pia tutajiendesha wenyewe kuilipo hiyo mikopo, tofauti na nyie mnapewa mikopo, hampewi ajira na kwa wachache waliopata wanapewa ujuzi kiduchu mwisho wa siku hadi maintenance hamuwezi kufanya na mbaya zaidi wanaendesha mradi ni waliowakopesha na huku mkiendelea kulipa mikopo.
Na bado huawei anataka kuwekeza konza huku mnahost jeshi kambi ya jeshi la marekani.
Unajua ule msemo unaosema mafahali wawili wakipigana nyasi zinalala? Umebakiwa kuomba dua mabaya yasikukute maana hamna uwezo kwa sasa wa kudecide future ya nchi yenu. ukishakuwa malaya usiyejua kuamua kubaki na mume moja siku watapigania nyumbani kwako wakuvunjie nyumba
Sasa hapa umeongea nn...alafu nitajie mradi ambao ulitushinda kw maintanance..we unabwata tu...

Tazara tu iliwashinda...
 
Wee jamaa una ndoto za bunuazi. Marekani anadaiwa na mchina na huku anauwezo wa kumtunishia misuli ilhali nyie mnatukanwa na mchina na mambo chungunzima kwa kadeni ka $8 billion. unaona tofauti hapo? Hivi wewe unajielewa?
Kudaiwa kwel USA anadaiwa na mchina BT mikopo hiyo haiingiliani na kuwekeana mavikwazo
 
Wee jamaa una ndoto za bunuazi. Marekani anadaiwa na mchina na huku anauwezo wa kumtunishia misuli ilhali nyie mnatukanwa na mchina na mambo chungunzima kwa kadeni ka $8 billion. unaona tofauti hapo? Hivi wewe unajielewa?
Kumtunishia wapi..
Si amuwekee vikwazo km vile north korea km anauwezo huo...

Umesahau wachina wakiwapiga karate hko kwenu....

Anyway...
 
Sasa hapa umeongea nn...alafu nitajie mradi ambao ulitushinda kw maintanance..we unabwata tu...

Tazara tu iliwashinda...
Ona unavyoyumba, mteja mkubwa wa Tazara ni Zambia lazima tuelewane nae na mchina ana miradi mingi tu Zambia, Mizigo inayopita bandari ya Dar kutokana na Tazara sio kidogo buda na kwa taarifa yako Tazara inaeleweka kuliko hiyo sgr yenu. Kilichotushinda hapo ni kipi
 
Na kodi pia zizidi kuongezeka kila sekta pia..km ya uwepo wako tanzania, kodi ya kuvuta hewa
Ndio shida ya kula kwa mtereko, unataka kuniambia hujui hata kidogo jinsi china ilivyopitia wakati mgumu kufikia hapo walipo? Ndio maana wanawatukana maana walishawasoma mnataka kutelezea ganda la ndizi. buda lazima mpitie wakati mgumu, ukitaka mteremko utakua mtumwa. bado hujajifunza kwa yanayowatokea tu!
 
Ndio shida ya kula kwa mtereko, unataka kuniambia hujui hata kidogo jinsi china ilivyopitia wakati mgumu kufikia hapo walipo? Ndio maana wanawatukana maana walishawasoma mnataka kutelezea ganda la ndizi. buda lazima mpitie wakati mgumu, ukitaka mteremko utakua mtumwa. bado hujajifunza kwa yanayowatokea tu!
Sasawa....watumwa km vile waarabu na wahindi walivyoushika huo uchumi wenu wengine wakibaki maskini...au ilkuwa wamaanisha utumwa gani
 
Back
Top Bottom