Godwin Gen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2017
- 1,309
- 2,277
hujui kodi inaongezeka kwa kila bei? we bure kabisaHyo sio kodi....bwahahaa
hujui kodi inaongezeka kwa kila bei? we bure kabisaHyo sio kodi....bwahahaa
Kila kiti na bei yake...hku ni mido income...si ldc....mbna kw basi hushtuki...hujui kodi inaongezeka kwa kila bei? we bure kabisa
Kama watu kufanya biashara nchini kwako ni mwaume zenu basi nyie mtakua machangudoa maana hadi wasomali watakua waume zenuMbna wajichanganya...hao si ndio waume zenu
Heheeee!!!sai imekuwa ni wafanyibiashara...bwahaha...Kama watu kufanya biashara nchini kwako ni mwaume zenu basi nyie mtakua machangudoa maana hadi wasomali watakua waume zenu
Nenda kw list ya wafanyibiashara wakubwa kenya uone km kmetawaliwa na akina nani...Kama watu kufanya biashara nchini kwako ni mwaume zenu basi nyie mtakua machangudoa maana hadi wasomali watakua waume zenu
Kumbe muda wote hata hunielewi. Na sikueleweshi mpaka uombeHeheeee!!!sai imekuwa ni wafanyibiashara...bwahaha...
Wazungu wanaoishi kenya si wafanyibiashara sio....yani likija swala la kwenu mnajitetea...kenya mnatupia maneno makali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si ni nynyi mnasemaga tumempa shamba mzungu analima maua...na wakati ywalipa kodi....lkn bado mnakejeli serikali ya kenyaKumbe muda wote hata hunielewi. Na sikueleweshi mpaka uombe
Kabla hatujaenda mbali nipe ushahidi walau mhindi au mwarabu moja unaesema ni bwana zetuNenda kw list ya wafanyibiashara wakubwa kenya uone km kmetawaliwa na akina nani...
Hta magu hilo swali hawez kujibu...atakwambia kawaulize watoto wa chekecheaKabla hatujaenda mbali nipe ushahidi walau mhindi au mwarabu moja unaesema ni bwana zetu
Kumbe unaongea bila ushahidi, siwezi kujadili na mtu anaebahatisha maana tokea mwanzoni unaongea bila kwa kubahatisha. We nitajie moja hapo ndio ntaweza kuendelea na mjadala maana mpaka now nshaona hujui unachokiongea na ndio maana huwezi kutaja hata mojaHta magu hilo swali hawez kujibu...atakwambia kawaulize watoto wa chekechea
Kamuulize mtoto wako atakujibu hilo swaliKumbe unaongea bila ushahidi, siwezi kujadili na mtu anaebahatisha maana tokea mwanzoni unaongea bila kwa kubahatisha. We nitajie moja hapo ndio ntaweza kuendelea na mjadala maana mpaka now nshaona hujui unachokiongea na ndio maana huwezi kutaja hata moja
In comparison to the 6 along along Lake Tanganyika Onyesha bandari ya Kisumu hapa! Nyie mna ziwa moja and yet bandari yake is in pathetic shape! Hatujengi miradi ya sifa sie! Tunaangalia mahitaji husika!Nilikuwepo hapo mwezi wa 4 hakuna contractor alikuwepo site but kama wanasema wameanza kujenga is good but kwa gati kama hiyo bilioni 4 ni fedha kiduchu sana at least ingekuwa 10bln
Hiyo road from sumbawanga to Kasanga is just 112km sasa since 2009 inajengwa hadi leo 10yrs haiishi haya ni maajabu