na serikali ilijua kabisa kuwa wananchi wake hawawezi kuhumudu kulijenga jiji la nairobi kwani kipato hawana pia hawana wajenzi bora watakaoweza kubuild majengo yenye ubora ndiyo maana serikali yao imeomba omba sana wawekezaji wawatengenezee estate,,,,,,Hio ni link[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] nilichoona mombasa tuktuk ni nyingi kuliko gari
Leta official link au ni hio picha imekupa matuamini
Hahaaaa!!sasawa naona tandale imeshinda hadi umoja...middle class za nairobi tunazipa tandale maana tukiwapa real middle class za zenyewe bado hamtishi hamgusi hata ukucha bado mpo local hivyo middle class zenu ni hadhi ya tandale japo kwa huku dar tandale ni sehemu ya wanayoishi wanachi wakawaida,,,,,ila hii hii tandale ikija nairobi inakuwa middle class
Sent using Jamii Forums mobile app
hapo nakubali,hio slum ni kubwa sana, should be recognised ka the biggest slum in Africaanadhani kila sehemu ni uswazi,hajui kama mbagala ni kubwa na inaweza ikameza nusu ya nairobi[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
google earth haitambui slums huko Dar coz the whole of dar is slum,hence the general name dar es Salaam,meaning dar is slum,,right, hope umesoma kitu leo.
haiwezi ona because dar yote ni slum,,the name dar es salaam comes from the word 'dar is slum,so hakuna venye google maps itajirudia kuandika slum kipla place in dar,Hehhe area is nothing😂😂😂 inaonekana hesabu ulikua mtoro shuleni
Inamaana google earth haijaona slum in dar ?????😁😁😁
Yani mzungu aeke settelite ya trillion of shs juu ya dunia alaf isione slum kwa vile technology ya mzungu haina akili😆😆😆😆😆haiwezi ona because dar yote ni slum,,the name dar es salaam comes from the word 'dar is slum,so hakuna venye google maps itajirudia kuandika slum kipla place in dar,
😆😆😆😆😆👇👇👇👇👇google earth haitambui slums huko Dar coz the whole of dar is slum,hence the general name dar es Salaam,meaning dar is slum,,right, hope umesoma kitu leo.
Yani mzungu aeke settelite ya trillion of shs juu ya dunia alaf isione slum kwa vile technology ya mzungu haina akili😆😆😆😆😆
Pumzika kwa leo plz plz
kuna sehemu nyingi tu huwa ni middle class na vile vile kuna upper class,mfano tabata ni kubwa kuliko hivyo vibanda vyenu na imejigawa mara 6 zaidi,tabata ni sehemu ambayo ina tabaka mbili yaani ina middle na upper ,,hivyo baadhi ya maeneo yetu mengi ya makazi yamejicategorizeHahaaaa!!sasawa naona tandale imeshinda hadi umoja...
Tuletee hzo middle class kw majina zenye tutazilinganisha na runda...bwahaaaaa...hapa yani hutoki...hta ukiruka ruka...
Ukwel ni kwamba huez nitajia sehemu yeyote ya middle class dar...na kiherehere yenu si mgelikuwa mmeshanitajia kw mbwembwe..
Google earth ndio kiboko yenu...
Hehee..eti kariobangi,githurai...yani nimecheka sana...
Haya nasubiria hzo middle class ligi ya runda...
Iyo barabara kutoka tengeru hadi holili njia nne...ikifika pale njia panda ya kwenda KIA Inaenda hadi uwanjani....manake kutoka Arusha-Moshi-Holili itakua njia nne...highway moja ndefu sana ni zaidi ya 100km hapo....Wanazileta tu[emoji122][emoji122][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji116][emoji116]
ni bomba zaidi aiseeIyo barabara kutoka tengeru hadi holili njia nne...ikifika pale njia panda ya kwenda KIA Inaenda hadi uwanjani....manake kutoka Arusha-Moshi-Holili itakua njia nne...highway moja ndefu sana ni zaidi ya 100km hapo....
Sent using Jamii Forums mobile app
👏👏👏👏👏👏Iyo barabara kutoka tengeru hadi holili njia nne...ikifika pale njia panda ya kwenda KIA Inaenda hadi uwanjani....manake kutoka Arusha-Moshi-Holili itakua njia nne...highway moja ndefu sana ni zaidi ya 100km hapo....
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani hamna tofauti na jalala hapoendelea kujifariji kwa kuokota okota picha zisizo za dar ,hapo kuna baadhi ya picha ndiyo hizo nyingine warudishie wenye nazo....
ila ukweli ni huu hapa kuna tofauti kubwa sana ya kimazingira yakimaisha kati ya maskini wa kenya na maskini wakitanzania ,maskini wa kenya ni choka sanaa na mnaishi kwenye hali yakusikitisha sana maana imekuwa si umaskini imekuwa ni umaskini tena wenye uchafu kupindukia[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
nisikufiche haya siyo maisha aisee
mnasikitisha
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1073391View attachment 1073392View attachment 1073394View attachment 1073395View attachment 1073396View attachment 1073398View attachment 1073400View attachment 1073402View attachment 1073403View attachment 1073404View attachment 1073405View attachment 1073409View attachment 1073411
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kwa sababu hizo picha za Dar unazozibeza ni za watu wa hali ya chini zaidi, wanajaribu kukuonesha tofauti ya watu wa hali ya chini Dar na Nairobi. Watu wa tabaka la chini Dar ni binaadamu ila tabaka la chini huko Nairobi wanaishi kama nzi wa jalalani au funza wa chooni na ndio maana huwezi kuta slums DSM kwenye Google since hatuna huo uchafuM
Mbona mnapambanisha Mitaa zenu na kibera? Kila tunapoleta pics za Mitaa za dar mnajibu kwa kuleta pics za Kibera. Does it mean kibera is the only thing inaweza pambanishwa na mitaa zenu. Kwa kikufupi, yani dar nzima no slums tu ndo maana Lila tunapocompare anything Lazima kibera itajwe. Basi tuseme kwamba dar na kibera zinafanana
Mlivyo naakili fupi hamuwezi kuelewa ila nikusaidie ili sikuzingine usidandie treni kwa mbele. Raisi wetu kwenye mikutano yake na wananchi lazima aweke na utani kidogo na huo ulopost ni wakutumia akili ya kawaida sana na huenda hata hao bbc wanalifahamu hilo na wana maana yao kupost hivyo ila Watanzania wote wanajua hilo. Utani wa namna hii tumeupa msemo "ametoa boko", karibu zama za wahenga wa enzi za Magu