Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani unamaanisha kuwa na nyumba yako mwenyewe nimpka uijenge...maskini...kumbe hujui mpka apartments na estates zingine watu wanauziwa...

Maskini watanzania...
Alafu mmeletewa maeneo ya kawaida sana mmeshaanza kuweweseka...mara hoooo....
Nisaidie jamani...nataka kuyaona makaazi ya middle class ya dar na kw majina tu google...km vile buruburu,umoja,
Buruburu kumeshachooooka utafikiri Kariobangi South na Makadara


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbna vijijini zipo kali zaidi ya hzo...bwahahaaa..
Kw taarifa yako wakenya hawanganganii wala kubabaikia mjini...utakuta jizee lizima dar linajipiga kifua na kusema mjini kutamu bana...si urudi kwenu tu...kw mfano tu tuangalie ma rais wastaafu...yani tanzania wa tanzania bado hawaamini km wamestaafu...bado wanatak kuishi dar..kisa kwao mashinani ni kubovu...hapo ndio unakuta difference ya watz na wakenya...tanzania hamna zaidi ya dar..kila mtu ana ndoto ya kufika dar...bwahaha...
"kw mfano tu tuangalie ma rais wastaafu." Mbona hujaendelea na huo mfano wako kwa kutaja hao maraisi walio staafu na kubaki mjini. Hiko hivi Tz mtu akibarikiwa kipato cha kati kujenga Dar ni kitu cha kawaida sana. Ardhi iko cheap, mpaka mtu anastaafu kuwa na nyumba kijijini + shamba na mjini kuwa na nyumba huwa ni kitu kidogo. Nairobi ni ndogo hii imepelekea ardhi kuwa expensive na ubepari umechangia matajiri wa awali kumiliki ardhi kubwa na kujenga (landlords) hili hatuwezi walaumu vijana wa sasa hivi ila nanyie hampaswi kulisifia. Wazee wengi wakistaafu ata huku Tz wanarudi vijijini ila bado wanakuwa na nyumba mjini. Mzee wangu toka nikiwa mdogo aliniambia akistaafu anarudi kijijini na amefanya hivyo. Nakuwekea badhii ya picha za kijijini kwetu Bukoba
tapatalk_1555417588023.jpeg
tapatalk_1555417667962.jpeg
tapatalk_1555417821843.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Awache wapi amebakia kurudia estate na picha ni zile zile 😆😆😆😆😆 kabla yako alikuwepo ndugu yako wanjala ilifkia hatua akakimbia
Hakuna nulichorudia, the system just sent the last pictures I posted more than once na sijui kwa nini. just the same way hata wewe pia comment yako imejirudia hapa. Nikianza kupost pics za estates za Nairobi I will need the whole week to do so. Wewe Naona ushakimbilia Masaki na mikocheni and other posh estates along the beach ila mimi most of the estates I posted ni za eastlands, where majority of Nairobians live.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Heheeee!!naona umetema povu la hali...haya nenda kw google uiangalie...kabla hujaena nitajie angalau mitaa ya middle class dar niicheki google nataka nicheke pekeangu leo...

Manake nashangaa..walioni quote wote wanaropoka tu...leteni mitaa ya middle class dar kw majina tuicheki google earth...
 
Hakuna nulichorudia, the system just sent the last pictures I posted more than once na sijui kwa nini. just the same way hata wewe pia comment yako imejirudia hapa. Nikianza kupost pics za estates za Nairobi I will need the whole week to do so. Wewe Naona ushakimbilia Masaki na mikocheni and other posh estates along the beach ila mimi most of the estates I posted ni za eastlands, where majority of Nairobians live.
Bro..muelewe..huaga hyo hana akili...hv nikuulize..unajua hta mtaa mmoja wa middle class dar unisaidie na mi niucheki katika google earth nijichekee
 
Hakuna nulichorudia, the system just sent the last pictures I posted more than once na sijui kwa nini. just the same way hata wewe pia comment yako imejirudia hapa. Nikianza kupost pics za estates za Nairobi I will need the whole week to do so. Wewe Naona ushakimbilia Masaki na mikocheni and other posh estates along the beach ila mimi most of the estates I posted ni za eastlands, where majority of Nairobians live.
Tu assume ulianza tokea first page ya huu uzi, ulimaliza page ya ngapi au bado hazijaisha[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].

[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Bro..muelewe..huaga hyo hana akili...hv nikuulize..unajua hta mtaa mmoja wa middle class dar unisaidie na mi niucheki katika google earth nijichekee
Imagine Mimi nilipost pics za eastlands where the majority of middle class nairobians live na mtu ashakimbia kuleta pics za posh estates za Dar along the beach. Kama wanaamini they have better estates mtu aniletee pics za mwananyamala, Sinza, Tabata, Mwenge, Magomeni, Chang'ombe, Buguruni, Jangwani na kadhalika. Wasituletee Mitaa za kifahari. Hizo tunazo Mingi sana Nairobi. We want estates where 80% of dar population lives
 
Hakuna nulichorudia, the system just sent the last pictures I posted more than once na sijui kwa nini. just the same way hata wewe pia comment yako imejirudia hapa. Nikianza kupost pics za estates za Nairobi I will need the whole week to do so. Wewe Naona ushakimbilia Masaki na mikocheni and other posh estates along the beach ila mimi most of the estates I posted ni za eastlands, where majority of Nairobians live.
Heheheh kazitazame vzr picha hzo alipost wanjala na akakimbia humu ndani😂😂😂
 
Back
Top Bottom