Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

uzi huu uliwekwa huku strategically. unajua huwa inaleta furaha sana "kumnyorosha" adui yako katika eneo la nyumbani kwake.

kenyaforum ni forum iliyowekwa mahsusi ili kujadili masuala ya kenya. ila sisi tunaitumia kuwanyorosha kwa kuwaonyesha maendeleo ya tz.

pili, hii kenyaforum isingekuwa active bila sisi watz kuamua kuweka uzi huu. nakumbuka miaka ya nyuma around 2011-2016, this forum was very boring.

hii battle ndio imefanya baadhi ya wakenya kuamua kufungua account jf na kushiriki katika debate.

na kwa taarifa tu, hii ndio thread inayosomwa na kufatiliwa zaidi hapa kenyaforum kuliko thread zote.
mpaka sasa imeshafikisha 3 million views. hii haijawahi kutokea, inshallah ikifika 2025,views itakuwa fifteen million plus.View attachment 957084

wakenya wamejaribu kila mbinu ya kuanzisha v-thread uchwara ili kupoteza mvuto wa thread hii, wameshindwa. wabebaki kurusha vijimaneno vya jazba kwa moderator.
Respect kwa Annael na Watanzania wote tunaowafumbua vipofu wakikenya nakuweza kuona uhalisia
 
Nyinyi mshawahi toka kwa hii area ina white kutoka siku ya kwanzaView attachment 957145
images.jpeg
 
Wanjala sialikuja juzi Dar akawa anasema kuna mijumba aliiona akatamani iwe uko Nairobi. ..ongea vizur nae akusimulie
Wanjala nae alikuwa ni muongo hajakanyaga dar hana pesa yule ni choka tu chokoraa unemployment anazururazurura city center kufind wi_fi
 
Huo ndio ukweli utake usitake na ukweli hautabadilika ndio maana tanzania ina heshma kubwa sana africa na duniani
Na ni nchi yenye ushawishi mkubwa kushinda kenya kwa 99%

Tz ni miongoni mwa nchi zenye ushawishi duniani....
 
Back
Top Bottom