BestOfMyKind
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 1,348
- 1,466
what happened last year? What censoring?LOL.. Lastyear.Censorship
what happened last year? What censoring?LOL.. Lastyear.Censorship
This is Benjamin Mkapa Ultramodern Hospital bwana hebu tutoe taarifa sahihi bwana, as far as I know NIMR is the national organ responsible diseases research issue in Tanzania
asante mrembo numbisa kwa kuamua kuungana nasi katika mapambano yetu na hawa manyang'au. nimefarikajika sana. kwa sasa upo wewe na zuwenna. natamani na wanawake wengine wa ktz hapa jf wawe na ujasiri kama wenu. feel at home my dear.Hahahaha cheki ushakimbilia picha za angani hebu tua nai tuletee project za maana
Kariakoo pekeyake inazalisha pesa ambayo Mombasa itazalisha kwa miaka miwiliWewe pengine hujui kariokoo huku kwetu ni mtaa wa kawaida tuView attachment 956892View attachment 956893

Mambo yanazidi kumeremeta👏👏👏👇👇
Kariakoo ni jiji ndani ya jiji
asante mrembo numbisa kwa kuamua kuungana nasi katika mapambano yetu na hawa manyang'au. nimefarikajika sana. kwa sasa upo wewe na zuwenna. natamani na wanawake wengine wa ktz hapa jf wawe na ujasiri kama wenu. feel at home my dear.
1992 Dar is slum haikua na tower yoyote...... building ndefu huo wakati ilikua 40mthanks for the tbt. dar es salaam in 1992.




prove it... otherwise shut the *** up.1992 Dar is slum haikua na tower yoyote...... building ndefu huo wakati ilikua 40m![]()
Hawa wanakuanga mafala, ndio maana hua tunawaita wabongolalaLol.Mpumbavu mmoja anakusingizia kwamba umeiba kariakoo yao.Nadhani hajaelewa kwamba unalinganisha.![]()
Wewe ni mgeni sio?......Hahahaha cheki ushakimbilia picha za angani hebu tua nai tuletee project za maana
Naona mpaka render ya nairobi88 umepost😂😂😂😂😂😂😂
Vile tunakatika tukizidi kuongeza gap kati yetu na kijiji cha Dar slum
Kariokor ya Nairobi inazalisha mara tatu ya pesa yenye posta huzalisha kwa sikuKariakoo pekeyake inazalisha pesa ambayo Mombasa itazalisha kwa miaka miwili![]()
![]()
nani akupige ban? If what you say is right, jf ingekua inaccessible leo. Tz can even block WhatsApp lakini media zote zipo free.Lol.... What I know is jf was ferociously suppressed temporarily.I don't know why.
Lol. Nijitayarishe kupigwa ban xaxa 😂
uzi huu uliwekwa huku strategically. unajua huwa inaleta furaha sana "kumnyorosha" adui yako katika eneo la nyumbani kwake.Always home sweet home. Nyumbani ni nyumbani tu.sema ka uzi kamejificha huku kenya forums ndo maana wengi hawakaoni kivile
.