Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Upande mmoja ni Nairobi National Park na upande mwengine ni mtaa wa Kifahari wa Karen ulioko pembeni mwa jiji la Nairobi. Kila siku sisi huwaeleza Nairobi si hiyo 696km^2 mnayoshinda mkiimba humu hamusikii. Nairobi imekua hadi nje ya hizo 696 alafu Nairobi mitaa ya kifahari miti imehifadhiwa unaweza dhani ni msitu vile. Nikikutembeza Karen, Muthaiga, Spring valley, Kitisuru etc utadhani nimekupeleka porini maana ni bara bara tu katikati ya miti na ndege kuimba - mazingira yaliyotulia utadhani ni Safari Lodge vile. Ukitaka kuitazama hii mitaa vizuri inabidi upande chopper ndio uione ilivyopangwa na kujengeka.
hata uku ipo mim nimekuchokoza tu.......usijijaze
 
Mtume suburbs bwana..hii ni nyayo estate upper middle class.
03c39874b7d38aadb11093770ba37913.jpg
ba13fb3bdf288ecdd8b66e8b00bd8601.jpg
3dedbe2c80d3c2af98cbe3aaed4708e3.jpg
578e9fc4fb361bd5daca42800ad272af.jpg
05ce602a9c087885e6b6d7971b1e1868.jpg
5467fc717a6e759eeca811ad99bf5a63.jpg
5d2b27ecde5d9135f0d315e2d17dbbf3.jpg
c739981b858b7a0946e7b1983fc68b08.jpg
8c15e181595956c89e4cc973d0e1fa61.jpg
c88184390fb7ec53318c9b4326487b18.jpg
0e74779685711d79c16d769f41ad4788.jpg
the last photo has JKIA on the background.
All they do ni cheap talk. Huwezi pata picha kama hii wakipost
 
lav9.jpg
lav10.jpg
lav11.jpg
lav12.jpg
lav13.jpg
lav14.jpg
lav15.jpg
lav16.jpg
lav17.jpg
lav18.png
lav19.jpg
lav20.jpg
lav7.jpg
lav6.jpg
lav2.jpg
lav1.jpg
lav4.jpg
lav8.jpg
lav9.jpg
lav10.jpg
lav11.jpg
lav12.jpg
lav13.jpg
lav14.jpg
lav15.jpg
lav16.jpg
lav17.jpg
lav18.png
lav19.jpg
lav20.jpg
lav7.jpg
lav6.jpg
lav2.jpg
lav1.jpg
lav4.jpg
lav8.jpg

some of the houses. check out those villas.
Nimepost sample from Karen, Muthaiga, Lavington. Sijaweka enough, will add more later
 
Yarabi, kumekuwa na taarifa kwenye KTN kuhusu Dar is Slum, imenichukiza sana! Hili soko kweli ni chakula cha watu kinauzwa huko??

Kuanza leo nikisikia Mtazania anaongea kuhusu Kibera nitajua ni mwehu daaah, wacha tukae tukijuzana uzuri wa majiji yetu, sababu daah!! Hii noma vile
Capture1.JPG
Capture2.JPG
 
Yarabi, kumekuwa na taarifa kwenye KTN kuhusu Dar is Slum, imenichukiza sana! Hili soko kweli ni chakula cha watu kinauzwa huko??

Kuanza leo nikisikia Mtazania anaongea kuhusu Kibera nitajua ni mwehu daaah, wacha tukae tukijuzana uzuri wa majiji yetu, sababu daah!! Hii noma vile
View attachment 497505 View attachment 497506
Kibera ni untouchable, kibera Nairobi Ile ndio inareflect wakenya choka mbaya wanavyoishi!!mnatisha mnahitaji tuzo
 
Kibera ni untouchable, kibera Nairobi Ile ndio inareflect wakenya choka mbaya wanavyoishi!!mnatisha mnahitaji tuzo
Mimi nimekwambia, ama unataka niweke video??? Haina haja nyinyi kushinda mkiongea kuhusu Kibera, ama vichwa vyenu vitakuwa havina akili razini!! Maana kile nimekiona, hasa na wakazi wa pale wanavyosema, afadhali Kibera, Ujue Kibera ya sahi imeundwa, nyinyi mnaona picha za 2012 kurudi nyuma, kuna program inaitwa Kibera renewal Project barabara sahi za lami, maji ya mfereji seawer systems na ujenzi wa nyumba.
 
Mimi nimekwambia, ama unataka niweke video??? Haina haja nyinyi kushinda mkiongea kuhusu Kibera, ama vichwa vyenu vitakuwa havina akili razini!! Maana kile nimekiona, hasa na wakazi wa pale wanavyosema, afadhali Kibera, Ujue Kibera ya sahi imeundwa, nyinyi mnaona picha za 2012 kurudi nyuma, kuna program inaitwa Kibera renewal Project barabara sahi za lami, maji ya mfereji seawer systems na ujenzi wa nyumba.
Haha kibera inawauma
kwahyo hutaki tuiguse sio?
 
Mimi nimekwambia, ama unataka niweke video??? Haina haja nyinyi kushinda mkiongea kuhusu Kibera, ama vichwa vyenu vitakuwa havina akili razini!! Maana kile nimekiona, hasa na wakazi wa pale wanavyosema, afadhali Kibera, Ujue Kibera ya sahi imeundwa, nyinyi mnaona picha za 2012 kurudi nyuma, kuna program inaitwa Kibera renewal Project barabara sahi za lami, maji ya mfereji seawer systems na ujenzi wa nyumba.
Haha kibera inawauma
kwahyo hutaki tuiguse sio?
 
Back
Top Bottom