Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Fact ka mkonazo mzitaje...ujinga yenu siezi entertain
kwa hyo mkakaa wenyewe mkajidili mkaona vitu unavyoviorodhesha hakika dar tunawakamata mkaridhia kudanganyana wakakutuma wenzio ha haa haa pole mshamba wa kenya hapo ni flyover tu...na zikikamilika sijui utaongea nin
 
Ulitembea wapi Nairobi? Westlands, upperhill, Nairobi west, etc?? Na mnara ni part ya jengo, not all Kenyan towers have minaras btw. But ata burj mnara unahesabiwa, sijui why this is stinging you guys. Apart from that, wanajenga jengo la 330m bila mnara basi, na lingine 201m na lingine 182m. As we speak
Gikomba ni soko, Nairobi yote inakaa Gikomba?
acha ubishi nyie ni barabara tu mmejitahidi tena kwa upande wa flyover basi vingine ni kawaida tu tena sana .....hafu sifa nyingine mnajitahidi kupiga picha hako kajiji kenu kiasi cha kwamba kana picha nyingi sehemu moja ila angle tofauti tofauti wabongo tamaduni hyo hatuna.....
They have non...only two towers
 
Kwenye hiyo photo ndio CBD zenye majengo yote marefu old CBD inaonekana TIMES TOWER ambayo ni only over 30Floor, na kule Upper hill kuna BRITAM na UAP only 2 towers with over 30 floors. Huko Westland bado hamna tower yoyote ndefu yenye zaidi ya 30 floor labda baada ya miaka 4. Kwa hiyo hiyo picha hapo inaonyesha majengo yenu yote marefu. hiyo CBD ya tatu bado sana.
Hivyo nakushangaaga sana kila siku unasema Dar ni tower mbili tu.


From Onboard Kilimanjaro 6 from Zanzibar by indaressalaam, on Flickr

Dar Zanzibar trip by indaressalaam, on Flickr

From Onboard Kilimanjaro 6 from Zanzibar by indaressalaam, on Flickr


The view from MNF Tower rooftop. by indaressalaam, on Flickr


Hata nje ya CBD Kuna BUildings over 30 Floors

Kijitonyama Area by indaressalaam, on Flickr
Surely wewe huoni unajiaibisha bure??? Kama sasa hii picha ya mwisho ni ya nini?? Kisha Hizo tawa mbili tu mbona??? Aaaah! We vipi tena bana??
 
Nyinyi kwanza mnakazia wakenya kuja huko kwenu..kwenda Uganda ama Rwanda nahutaji ID ya Kenya but hapo kwenu nyinyi watiaji ndio maana hamtawai endelea
acha uwongo sisi hatuwakazii wabongo ni watu poa sana nagundua kitu kingine kama mnadanganyana nakupandikizana chuki id ni kitu cha kawaida mbona ni utaratibu tu
 
Mtume suburbs bwana..hii ni nyayo estate upper middle class.
03c39874b7d38aadb11093770ba37913.jpg
ba13fb3bdf288ecdd8b66e8b00bd8601.jpg
3dedbe2c80d3c2af98cbe3aaed4708e3.jpg
578e9fc4fb361bd5daca42800ad272af.jpg
05ce602a9c087885e6b6d7971b1e1868.jpg
5467fc717a6e759eeca811ad99bf5a63.jpg
5d2b27ecde5d9135f0d315e2d17dbbf3.jpg
c739981b858b7a0946e7b1983fc68b08.jpg
8c15e181595956c89e4cc973d0e1fa61.jpg
c88184390fb7ec53318c9b4326487b18.jpg
0e74779685711d79c16d769f41ad4788.jpg
the last photo has JKIA on the background.
hizo vitu tulishaonyeshaga ni normal sana zipo nyingi na kingine tunataka suburb unapoishi na wew pia si za watu wengine pekee
 
acha uwongo sisi hatuwakazii wabongo ni watu poa sana nagundua kitu kingine kama mnadanganyana nakupandikizana chuki id ni kitu cha kawaida mbona ni utaratibu tu

Kuna jambo huwa sielewi, wasanii wabongo video zao za nyimbo hawafanyi kule Dar?? Kunani, Sio kama wasani wa Kenya wanachapa video hapa hapa jijini Nairobi.
 
Nairobi is a Modern city good infrastructure provided and the ease of doing business is going up very fast
Selassie Avenue Nairobi
C9nOqgjU0AAJU85.jpg
 
Nilikuambia wewe na mwenzie
Ma Zero
hakuna jipya hapa Jf mnalo ninyi!!
Wakenya wenye akili kuliko ninyi
walisha maliza hizo habari,
Hatupo hapa kurudia ujinga!!

Mada ya Suburbs ilianzishwa 2012
na imekuja kutulia mwaka 2016 miaka 4 watu wanajadili Suburbs
leo mturudishe kule!!

f83383116f7d5127f12d87c9a67bdd53.jpg

c14a51a817ed359931230a2aaa5549b4.jpg

Mnapo kuwa wageni mjaribu kutuliza Nyege
hakuna jipya Humu Jamii forum
na uwaambie nani alikuwa mshindi wajue maana wanezubaa kweli na waka isearch hyo thread wakajionee
 
Kuna jambo huwa sielewi, wasanii wabongo video zao za nyimbo hawafanyi kule Dar?? Kunani, Sio kama wasani wa Kenya wanachapa video hapa hapa jijini Nairobi.
Kwa sasa wasanii wengi video zao wanafanyia DSM,isipokuwa kuna wachache kama kina Diamond ambao ni int.figure na mifuko yao inaruhusu wanachanganya mazingira ya ndani na nje ya nchi hasa SA

Lakini pia kufanyia video nje mi sioni shida kwa sababu ni moja ya njia kutangaza muziki wa BONGO NJE YA MIPAKA YETU
 
Kwenye hiyo photo ndio CBD zenye majengo yote marefu old CBD inaonekana TIMES TOWER ambayo ni only over 30Floor, na kule Upper hill kuna BRITAM na UAP only 2 towers with over 30 floors. Huko Westland bado hamna tower yoyote ndefu yenye zaidi ya 30 floor labda baada ya miaka 4. Kwa hiyo hiyo picha hapo inaonyesha majengo yenu yote marefu. hiyo CBD ya tatu bado sana.
Hivyo nakushangaaga sana kila siku unasema Dar ni tower mbili tu.


From Onboard Kilimanjaro 6 from Zanzibar by indaressalaam, on Flickr

Dar Zanzibar trip by indaressalaam, on Flickr

From Onboard Kilimanjaro 6 from Zanzibar by indaressalaam, on Flickr


The view from MNF Tower rooftop. by indaressalaam, on Flickr


Hata nje ya CBD Kuna BUildings over 30 Floors

Kijitonyama Area by indaressalaam, on Flickr
washamba hao wakenya sababu wanavijengo vidogo basi zilizo na 18Fl kwao ni cbd coz ndyo zinazoonekana jiji zima
 
Back
Top Bottom