COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
You need a psychiatristYou need a Doctor.
You need a psychiatristYou need a Doctor.
Uyo kajiloga mwenyewe na kasahau dawaYou need a Doctor.
We ukirogwa na babu yako na akakufa....mnaogopa ukweli nyieUyo kajiloga mwenyewe na kasahau dawa
We ukirogwa na babu yako na akakufa....mnaogopa ukweli nyie
pita hivi
jidanganye ivyo ivyoThis city darslum has no suburbs.. No modern highways...no multinationals..no modern airport etc iko na tower mbili tu
kwa hyo mkakaa wenyewe mkajidili mkaona vitu unavyoviorodhesha hakika dar tunawakamata mkaridhia kudanganyana wakakutuma wenzio ha haa haa pole mshamba wa kenya hapo ni flyover tu...na zikikamilika sijui utaongea ninFact ka mkonazo mzitaje...ujinga yenu siezi entertain
acha ubishi nyie ni barabara tu mmejitahidi tena kwa upande wa flyover basi vingine ni kawaida tu tena sana .....hafu sifa nyingine mnajitahidi kupiga picha hako kajiji kenu kiasi cha kwamba kana picha nyingi sehemu moja ila angle tofauti tofauti wabongo tamaduni hyo hatuna.....Ulitembea wapi Nairobi? Westlands, upperhill, Nairobi west, etc?? Na mnara ni part ya jengo, not all Kenyan towers have minaras btw. But ata burj mnara unahesabiwa, sijui why this is stinging you guys. Apart from that, wanajenga jengo la 330m bila mnara basi, na lingine 201m na lingine 182m. As we speak
Gikomba ni soko, Nairobi yote inakaa Gikomba?
They have non...only two towers
Surely wewe huoni unajiaibisha bure??? Kama sasa hii picha ya mwisho ni ya nini?? Kisha Hizo tawa mbili tu mbona??? Aaaah! We vipi tena bana??Kwenye hiyo photo ndio CBD zenye majengo yote marefu old CBD inaonekana TIMES TOWER ambayo ni only over 30Floor, na kule Upper hill kuna BRITAM na UAP only 2 towers with over 30 floors. Huko Westland bado hamna tower yoyote ndefu yenye zaidi ya 30 floor labda baada ya miaka 4. Kwa hiyo hiyo picha hapo inaonyesha majengo yenu yote marefu. hiyo CBD ya tatu bado sana.
Hivyo nakushangaaga sana kila siku unasema Dar ni tower mbili tu.
From Onboard Kilimanjaro 6 from Zanzibar by indaressalaam, on Flickr
Dar Zanzibar trip by indaressalaam, on Flickr
From Onboard Kilimanjaro 6 from Zanzibar by indaressalaam, on Flickr
The view from MNF Tower rooftop. by indaressalaam, on Flickr
Hata nje ya CBD Kuna BUildings over 30 Floors
Kijitonyama Area by indaressalaam, on Flickr
acha uwongo sisi hatuwakazii wabongo ni watu poa sana nagundua kitu kingine kama mnadanganyana nakupandikizana chuki id ni kitu cha kawaida mbona ni utaratibu tuNyinyi kwanza mnakazia wakenya kuja huko kwenu..kwenda Uganda ama Rwanda nahutaji ID ya Kenya but hapo kwenu nyinyi watiaji ndio maana hamtawai endelea
hizo vitu tulishaonyeshaga ni normal sana zipo nyingi na kingine tunataka suburb unapoishi na wew pia si za watu wengine pekeeMtume suburbs bwana..hii ni nyayo estate upper middle class.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
the last photo has JKIA on the background.![]()
acha uwongo sisi hatuwakazii wabongo ni watu poa sana nagundua kitu kingine kama mnadanganyana nakupandikizana chuki id ni kitu cha kawaida mbona ni utaratibu tu
Ulijuaje haishi hapo??hizo vitu tulishaonyeshaga ni normal sana zipo nyingi na kingine tunataka suburb unapoishi na wew pia si za watu wengine pekee
na uwaambie nani alikuwa mshindi wajue maana wanezubaa kweli na waka isearch hyo thread wakajioneeNilikuambia wewe na mwenzie
Ma Zero
hakuna jipya hapa Jf mnalo ninyi!!
Wakenya wenye akili kuliko ninyi
walisha maliza hizo habari,
Hatupo hapa kurudia ujinga!!
Mada ya Suburbs ilianzishwa 2012
na imekuja kutulia mwaka 2016 miaka 4 watu wanajadili Suburbs
leo mturudishe kule!!
![]()
![]()
Mnapo kuwa wageni mjaribu kutuliza Nyege
hakuna jipya Humu Jamii forum
Kwa sasa wasanii wengi video zao wanafanyia DSM,isipokuwa kuna wachache kama kina Diamond ambao ni int.figure na mifuko yao inaruhusu wanachanganya mazingira ya ndani na nje ya nchi hasa SAKuna jambo huwa sielewi, wasanii wabongo video zao za nyimbo hawafanyi kule Dar?? Kunani, Sio kama wasani wa Kenya wanachapa video hapa hapa jijini Nairobi.
washamba hao wakenya sababu wanavijengo vidogo basi zilizo na 18Fl kwao ni cbd coz ndyo zinazoonekana jiji zimaKwenye hiyo photo ndio CBD zenye majengo yote marefu old CBD inaonekana TIMES TOWER ambayo ni only over 30Floor, na kule Upper hill kuna BRITAM na UAP only 2 towers with over 30 floors. Huko Westland bado hamna tower yoyote ndefu yenye zaidi ya 30 floor labda baada ya miaka 4. Kwa hiyo hiyo picha hapo inaonyesha majengo yenu yote marefu. hiyo CBD ya tatu bado sana.
Hivyo nakushangaaga sana kila siku unasema Dar ni tower mbili tu.
From Onboard Kilimanjaro 6 from Zanzibar by indaressalaam, on Flickr
Dar Zanzibar trip by indaressalaam, on Flickr
From Onboard Kilimanjaro 6 from Zanzibar by indaressalaam, on Flickr
The view from MNF Tower rooftop. by indaressalaam, on Flickr
Hata nje ya CBD Kuna BUildings over 30 Floors
Kijitonyama Area by indaressalaam, on Flickr
HahahaYou need a Doctor.