Edward Wanjala
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 8,122
- 6,429
Around Galleria Mall
Video nying tu znashutiwa dar sema hufuatiliiKuna jambo huwa sielewi, wasanii wabongo video zao za nyimbo hawafanyi kule Dar?? Kunani, Sio kama wasani wa Kenya wanachapa video hapa hapa jijini Nairobi.
Video gani hizo zinazo shutiwa Kenya ? Na wabongoSura yako ilileta sauti Sol juu...alafu video zenu mingi mnatoa Kenya ama south Africa hata hamjivunii nchi yenu
Video gani hizo zinazo shutiwa Kenya ? Na wabongoSura yako ilileta sauti Sol juu...alafu video zenu mingi mnatoa Kenya ama south Africa hata hamjivunii nchi yenu
Nilisema wasanii wa Kenya hushoot video hapa Nairobi bi. Sijaona Video moja ya msanii bomba wa Tz akishoot video Dar, Kama ipo, naomba nionyeshwe. Kama hawawezi kumarket Nchi yao, nani atafanya hayo?Video gani hizo zinazo shutiwa Kenya ? Na wabongo
Mingi sanaVideo gani hizo zinazo shutiwa Kenya ? Na wabongo
Nilisema wasanii wa Kenya hushoot video hapa Nairobi bi. Sijaona Video moja ya msanii bomba wa Tz akishoot video Dar, Kama ipo, naomba nionyeshwe. Kama hawawezi kumarket Nchi yao, nani atafanya hayo?
Msituhukumu, nadhani tuna uzalendo kuliko mlio nao nyinyi wabongo. Wimbo kama huu bado ukitazama utaona flag ya Kenya, ameufanyia kwa Nairobi archives
Angalia hii video. Hiyo ni dar sio NY. Mkiona video mnadhani so Dar. Hamuamini mnachokiona. Hiyo ni avic town kigamboni
ndyo na si yeye peke yake bali hata mimi pia na kila mwananchi hapa duniani anainua uchumi wa nchi yake hata wew ni moja ya nyenzo hapo kenya inayoinua uchumi...Diamond ameinua uchumi wa nchi yenu???
Yaah. Huyo ni young D (young Dar es salaam). Video pia ni nzuri sio tu wimbo. Napenda sana hii video.Daaah! Kijana huyu ana talent kweli, hivi anayumbisha beat safi sana!!! kimtindo huyu nampa 10/10!! Kazi yake mzuka
Lakini Pazii, acha kutia chuku, hakuna mtu anaweza confuse hiyo place na NY, hata hawezi sema Nairobi, Markech ama Joburg, hapo bado sana. Hiyo ni kulingana na ulivyoandika wewe.
Ila kwenye mziki wa huyu kijana naukubali kabisa! Mbonge la ngoma!!
wew tunakuza wigo bro ...ndyo maana sasa ivi hamtuoni anakuja mmoja mmoja na waliokuwa wanakuja wanahesabika hawafiki kumiSura yako ilileta sauti Sol juu...alafu video zenu mingi mnatoa Kenya ama south Africa hata hamjivunii nchi yenu
usihofu utapata ngoja mnara upate disgner na uwekwe apo juu30 floors, Lakini sijapata ufahamu wa urefu kwa meter
hyo ni nairobi kweli mbona polini ukoLangata Road
![]()
![]()
Anashoot video mob south Africa sasa nani anafaidika zaidindyo na si yeye peke yake bali hata mimi pia na kila mwananchi hapa duniani anainua uchumi wa nchi yake hata wew ni moja ya nyenzo hapo kenya inayoinua uchumi...
siku nyingine usiwe na maswali ya kijinga mwananchi ndye anayeinua uchumi diamond ni mwananchi wa kawaida kama watu wengine na sanaa ndyo nguvu kazi yake inayochangia pato la taifa nakuutengeneza uchumi
Nilisema wasanii wa Kenya hushoot video hapa Nairobi bi. Sijaona Video moja ya msanii bomba wa Tz akishoot video Dar, Kama ipo, naomba nionyeshwe. Kama hawawezi kumarket Nchi yao, nani atafanya hayo?
Msituhukumu, nadhani tuna uzalendo kuliko mlio nao nyinyi wabongo. Wimbo kama huu bado ukitazama utaona flag ya Kenya, ameufanyia kwa Nairobi archives
hyo ni nairobi kweli mbona polini uko
Angalia hii video. Hiyo ni dar sio NY. Mkiona video mnadhani so Dar. Hamuamini mnachokiona. Hiyo ni avic town kigamboni
ukishakuwa international kuna mazingira yanabidi tu mfano collabo na p.square,neyo.mr flavour wale wote walikuwa south na lazima imbidi kufanyia kule ili abalance cost huwezi mtoa msanii nnje kizembe zaidi utapata demage tu.....na kingine kwa hapa east africa hatupo vizuri kwa upande wa directors na vifaa vya shooting ikiwemo camera na lights wenzetu wametuzidi ukitaka proffesional video kwa hapa east africa hatupo powa sana ....ndyo maana hata video nyingi ukiziona na ukilinganisha na wenzetu zetu utazijua tu.....Anashoot video mob south Africa sasa nani anafaidika zaidi
Yaah. Huyo ni young D (young Dar es salaam). Video pia ni nzuri sio tu wimbo. Napenda sana hii video.