Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawa kwa sasa wanaweweseka sana. Wanatafuta kila mbinu kuichafua Dar es salaam. Hii thread mpaka UK ameupitia. Media zote za kenya zimepita hapa. Kwahiyo wanatafuta watoke vipi.

Tumeshawagonga na tumemaliza.
Hilo ni ndogo sana! Hiyo ilikuwa ni maoni yangu tu baada ya kuona hiyo taarifa, lakini kama nyinyi ni kama mbuni ndege, sawa, twende kama kawaida!!
 
Hilo ni ndogo sana! Hiyo ilikuwa ni maoni yangu tu baada ya kuona hiyo taarifa, lakini kama nyinyi ni kama mbuni ndege, sawa, twende kama kawaida!!
Nimesema mnaweweseka sana. Maana hii thread imewaabisha mno. Tangu uanze kutupia mambo ni ya kawaida sana. Mpaka hapa hamna uwezo tena wa kukashifu Dar. Jiandaeni tu kisaikolojia la sivy mtakufa na heart attacks
 
NAIROBAE YOTE HII HAPA CBD TATU, SUBURBS, ECT NA KUNA MTU ALISEMA DAR INAONEKANA KAVU HAINA HATA MITI.


17663766_431080453900612_2158709000294629376_n.jpg
Hahahaha yani aerial view haidangaji...yule naesema dar ni tower mbili mbona hapo sioni ata moja? Alafu kama kabul tu msemo wa depay....hakuna mbwembwe apo tena
 
Hawa kwa sasa wanaweweseka sana. Wanatafuta kila mbinu kuichafua Dar es salaam. Hii thread mpaka UK ameupitia. Media zote za kenya zimepita hapa. Kwahiyo wanatafuta watoke vipi.

Tumeshawagonga na tumemaliza.
Ati UK amepitia..haha si unaotaga man....dar hata haitishi Nai in anyway
 
Ati UK amepitia..haha si unaotaga man....dar hata haitishi Nai in anyway
Umekuja tena kichwa uchi. Nadhani akina Njoroge walikutuma uje uwatetee. But too late tayari tumeshawachapa and message sent and delivered.

Hapo umekuja kupoteza muda. Hii thread imemaliza kila kitu.
 
Yarabi, kumekuwa na taarifa kwenye KTN kuhusu Dar is Slum, imenichukiza sana! Hili soko kweli ni chakula cha watu kinauzwa huko??

Kuanza leo nikisikia Mtazania anaongea kuhusu Kibera nitajua ni mwehu daaah, wacha tukae tukijuzana uzuri wa majiji yetu, sababu daah!! Hii noma vile
View attachment 497505 View attachment 497506
ha ha haa wakenya sishangai kuona hzo habar kwani mnachotafuta si ndyo hicho mna4c ili mjifariji mlibganishe na kibera ....hiko ni kipindi cha mvua vitu kama izo katika mazingira ya soko havikosi kipindi cha mvua
 
tapatalk_1492458649291.jpeg
...yaani picha hii ndyo nilikuwa naitaka hebu tazama hako kanairobi......nyie wakenya punguzeni ushamba kweli hii uta compare na dar kweli kadri miaka inavyozidi sogea mnaimani kabisa kama tutakuwa same table...ah dah kwa huu mchezo mmeumia
 
Umekuja tena kichwa uchi. Nadhani akina Njoroge walikutuma uje uwatetee. But too late tayari tumeshawachapa and message sent and delivered.

Hapo umekuja kupoteza muda. Hii thread imemaliza kila kitu.
Haha we unaotaga sana dar hakuna msee anajua Kenya....tunaheshimu Johannesburg na Cairo pekee hii africa
 
Umekuja tena kichwa uchi. Nadhani akina Njoroge walikutuma uje uwatetee. But too late tayari tumeshawachapa and message sent and delivered.

Hapo umekuja kupoteza muda. Hii thread imemaliza kila kitu.
ulituchapa aje sasa...hamkutuma photos za suburbs,interchanges,super highways etc...dar is slum cant be compared with nairobi dude and we are never afraid of dar in any way coz every time they mention African cities we here of lagos,joburg,cairo,capetown and nairobi oflate we have heard of luanda and accra....dar bado msee u still have more hundles...for now u can compare to mombasa
 
Back
Top Bottom