Edward Wanjala
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 8,122
- 6,429
Hilo ni ndogo sana! Hiyo ilikuwa ni maoni yangu tu baada ya kuona hiyo taarifa, lakini kama nyinyi ni kama mbuni ndege, sawa, twende kama kawaida!!Hawa kwa sasa wanaweweseka sana. Wanatafuta kila mbinu kuichafua Dar es salaam. Hii thread mpaka UK ameupitia. Media zote za kenya zimepita hapa. Kwahiyo wanatafuta watoke vipi.
Tumeshawagonga na tumemaliza.
...yaani picha hii ndyo nilikuwa naitaka hebu tazama hako kanairobi......nyie wakenya punguzeni ushamba kweli hii uta compare na dar kweli kadri miaka inavyozidi sogea mnaimani kabisa kama tutakuwa same table...ah dah kwa huu mchezo mmeumia