Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna jambo huwa sielewi, wasanii wabongo video zao za nyimbo hawafanyi kule Dar?? Kunani, Sio kama wasani wa Kenya wanachapa video hapa hapa jijini Nairobi.
Humu Jf
kuna Vila*za 5kutoka kenya
wewe namba 3
wengineo wanajitambua!!

Bongo flava inamiaka mingi ikitoa video zake Tanzania
kuchanganya mandhari ikabidi watu waende nje ya Tanzania
na si kila wimbo lazima nje ya Tanzania.
Nyie mna lipi lamaana kwenye music
kama kina BAHATI
Ndio super star!!
Kweli mnasafari ndefu
 
Kuna jambo huwa sielewi, wasanii wabongo video zao za nyimbo hawafanyi kule Dar?? Kunani, Sio kama wasani wa Kenya wanachapa video hapa hapa jijini Nairobi.
tunatawanya market bro isambae ndyo maana tumewaacha kwenye mziki....na hata mfano mnao hao jiulize kwanin sauti soul angalau wamefanikiwa.....ni nyimbo gani iliyowaletea mafanikio kuliko zote na hyo nyimbo video walitolea wapi...?....na kingine si kila video wabongo hutolea nnje....
tupo vizuri bro ndyo maana twasonga ile ni tecnic...
 
Nairobi Hahahaha
Jengo lina 200m
Mnara una 60m!!?
Du!!
b990a6158cb8c394aa5de913db8bd7d0.jpg
 
tunatawanya market bro isambae ndyo maana tumewaacha kwenye mziki....na hata mfano mnao hao jiulize kwanin sauti soul angalau wamefanikiwa.....ni nyimbo gani iliyowaletea mafanikio kuliko zote na hyo nyimbo video walitolea wapi...?....na kingine si kila video wabongo hutolea nnje....
tupo vizuri bro ndyo maana twasonga ile ni tecnic...
Hao sauti wenyewe bila kushirikiana na Mbongo
wasingeli pata hata views zile walizo pata youtube
hawana wimbo wenye views zaidi ya 4m
 
Hao sauti wenyewe bila kushirikiana na Mbongo
wasingeli pata hata views zile walizo pata youtube
hawana wimbo wenye views zaidi ya 4m

Kenyan artists are not interested in Youtube Views as that is not their source of income. The likes of |Diamond who makes their accounts premium to attract more viewership!! Very poor indeed
 
Nairobi Hahahaha
Jengo lina 200m
Mnara una 60m!!?
Du!!
b990a6158cb8c394aa5de913db8bd7d0.jpg

Si utumie miwani kama macho yanashida, hilo jumba lipo kwenye mteremko ukianza na hiyo miti, hilko jumba la blue mbele yake tayari ni 16 floors na lipo mbele yake bado. Hapa ulipochorea mstari umechukua only 3/4 of the building
 
Kenyan artists are not interested in Youtube Views as that is not their source of income. The likes of |Diamond who makes their accounts premium to attract more viewership!! Very poor indeed
uyoo ...kausha tuachane na hayo ila umekula msosi wa mchana kweli maana nawasi wasi na wew
 
This 44 Floor tower is being done by Moi University to be their City Campus and offices. It is right opposite the Uhuru Park, next to intercontinental and Parliament Towers
EzFXScQ.jpg
Hivi ndio vitu tunataka kuviona east Africa
 
Hivi ndio vitu tunataka kuviona east Africa
Naamini ni hivyo, ila sijapendehswa sana na hii architecture. Mbona utumie pesa nyingi kujenga jengo hata halina sura nzuri, it is just a wasted opportunity!! Sijapenda huo muingiliano wa pink na blue
 
Humu Jf
kuna Vila*za 5kutoka kenya
wewe namba 3
wengineo wanajitambua!!

Bongo flava inamiaka mingi ikitoa video zake Tanzania
kuchanganya mandhari ikabidi watu waende nje ya Tanzania
na si kila wimbo lazima nje ya Tanzania.
Nyie mna lipi lamaana kwenye music
kama kina BAHATI
Ndio super star!!
Kweli mnasafari ndefu
Diamond ameinua uchumi wa nchi yenu???
 
tunatawanya market bro isambae ndyo maana tumewaacha kwenye mziki....na hata mfano mnao hao jiulize kwanin sauti soul angalau wamefanikiwa.....ni nyimbo gani iliyowaletea mafanikio kuliko zote na hyo nyimbo video walitolea wapi...?....na kingine si kila video wabongo hutolea nnje....
tupo vizuri bro ndyo maana twasonga ile ni tecnic...
Sura yako ilileta sauti Sol juu...alafu video zenu mingi mnatoa Kenya ama south Africa hata hamjivunii nchi yenu
 
Back
Top Bottom