Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Badala ya kupiga domo hapa, mtu apost picha za neighbourhoods. We are waiting.
 
Acha uongo nimefika Nairobi nilitembea kidogo tu nikatokea gikombaa nilishangaa sana city centre kuna matope na nyumba za mabati ila kingine usalama mdogo nilichelewa kurudi hotelini wakaniambia unabaati chokoraa wangekukamata ingekuwa shida
Ukweli usemwe Nairobi ndogo sana na hayo majengo unayo post uku nimeyaona Kwa macho hayana uzuri wala urefu was kutisha maana nilikuwa si angalii minara kumbe nyie mnahesabu adi minara unakuta half ya jengo ni mnara
Kuona Nairobi online si kufika Nai..kutoka tu Airport hadi city centre(Mombasa road) utaheshimu hii city
 
Kicc iko unique..hadi ni landmark ya Nairobi..nyinyi landmark ni?
View attachment 497314
f5d89fd6b70f178279b4d87fdb60394f.jpg
 
Tuonyeshe suburbs kaka
Jitulize
Mnapo ongelea jambo Jf jaribu ku tafuta kwanza humu humu jf
hilo sio jipya
limesha jadiliwa sana mwaka 2015
Tena nawatu wenye kujitambua zaidi ya ninyi Zero!!

Hii jf ni kubwa
tuna zunguka sehemu nyingi sana
huwa tuna msimu wa kupost picha hapa
kuna sehemu nyingine Tunatakiwa kuchangia sio hapa tu.
Mnakuja jana mnadhani hizo ngonjera nizaleo!! Poleni sana
 
Lemme explain this
Dar naona majengo yote marefu yako sehemu moja, CBD. After that part zingine za Dar hatuzioni or any development
NAIROBI
CBD, tallest tower ni Times Tower(140m), tallest under construction ni Hazina Trade Centre(180m) but hii building iko na mashinda mob, tallest proposed N/A
UpperHill. Tallest tower ni UAP(163m), tallest under construction ni Britam(200m) almost done, na Hass tower 1(330m), by 2020, Hass tower 2 (201m). Tallest proposed so far Kuna The One(270m), Upperhill Square (280m) na CPF(over 300m)
Westlands. Tallest ni Le Mac(126m). Tallest Under construction AVic(182.5m) na Avic Hotel(141m). Tallest proposed, The Argos(over 300m).
Then kuna out of the city boundaries, penye kuna Metropolis, they have proposed Bolyene Towers over 300m
Na these are just the tallest, sicount the shorter ones. So if you come to the CBD and expect kila kitu kuwa hapo ni a lie. We have like 3 different CBDs, some few km of each other, separated by residential places
 
Wewe post acha kupiga kelele. Ama nipe 5 neighbourhoods nijioneeee. Picha ninazo post mimi sijaziona humu.
 
Wewe post acha kupiga kelele. Ama nipe 5 neighbourhoods nijioneeee. Picha ninazo post mimi sijaziona humu.
 
Kuona Nairobi online si kufika Nai..kutoka tu Airport hadi city centre(Mombasa road) utaheshimu hii city
Nimegundua wa Kenya huwa hamtembei Naona ni uchumi unawabana
Ila kuna wenzako wanakujaga na magari ya shule au vyuo kutoka uko kuja Tanzania ku enjoy kama pasaka hii wamejaa uku wanapenda sana kwenda Mwanza na Arusha ila dsm wanaona gharama kufika
 
Nimegundua wa Kenya huwa hamtembei Naona ni uchumi unawabana
Ila kuna wenzako wanakujaga na magari ya shule au vyuo kutoka uko kuja Tanzania ku enjoy kama pasaka hii wamejaa uku wanapenda sana kwenda Mwanza na Arusha ila dsm wanaona gharama kufika
Nyinyi kwanza mnakazia wakenya kuja huko kwenu..kwenda Uganda ama Rwanda nahutaji ID ya Kenya but hapo kwenu nyinyi watiaji ndio maana hamtawai endelea
 
Mtume suburbs bwana..hii ni nyayo estate upper middle class.
03c39874b7d38aadb11093770ba37913.jpg
ba13fb3bdf288ecdd8b66e8b00bd8601.jpg
3dedbe2c80d3c2af98cbe3aaed4708e3.jpg
578e9fc4fb361bd5daca42800ad272af.jpg
05ce602a9c087885e6b6d7971b1e1868.jpg
5467fc717a6e759eeca811ad99bf5a63.jpg
5d2b27ecde5d9135f0d315e2d17dbbf3.jpg
c739981b858b7a0946e7b1983fc68b08.jpg
8c15e181595956c89e4cc973d0e1fa61.jpg
c88184390fb7ec53318c9b4326487b18.jpg
0e74779685711d79c16d769f41ad4788.jpg
the last photo has JKIA on the background.
Nilikuambia wewe na mwenzie
Ma Zero
hakuna jipya hapa Jf mnalo ninyi!!
Wakenya wenye akili kuliko ninyi
walisha maliza hizo habari,
Hatupo hapa kurudia ujinga!!

Mada ya Suburbs ilianzishwa 2012
na imekuja kutulia mwaka 2016 miaka 4 watu wanajadili Suburbs
leo mturudishe kule!!

f83383116f7d5127f12d87c9a67bdd53.jpg

c14a51a817ed359931230a2aaa5549b4.jpg

Mnapo kuwa wageni mjaribu kutuliza Nyege
hakuna jipya Humu Jamii forum
 
Cbd huku ni tatu msee

Kwenye hiyo photo ndio CBD zenye majengo yote marefu old CBD inaonekana TIMES TOWER ambayo ni only over 30Floor, na kule Upper hill kuna BRITAM na UAP only 2 towers with over 30 floors. Huko Westland bado hamna tower yoyote ndefu yenye zaidi ya 30 floor labda baada ya miaka 4. Kwa hiyo hiyo picha hapo inaonyesha majengo yenu yote marefu. hiyo CBD ya tatu bado sana.
Hivyo nakushangaaga sana kila siku unasema Dar ni tower mbili tu.


From Onboard Kilimanjaro 6 from Zanzibar by indaressalaam, on Flickr

Dar Zanzibar trip by indaressalaam, on Flickr

From Onboard Kilimanjaro 6 from Zanzibar by indaressalaam, on Flickr


The view from MNF Tower rooftop. by indaressalaam, on Flickr


Hata nje ya CBD Kuna BUildings over 30 Floors

Kijitonyama Area by indaressalaam, on Flickr
 
Nilikuambia wewe na mwenzie
Ma Zero
hakuna jipya hapa Jf mnalo ninyi!!
Wakenya wenye akili kuliko ninyi
walisha maliza hizo habari,
Hatupo hapa kurudia ujinga!!

Mada ya Suburbs ilianzishwa 2012
na imekuja kutulia mwaka 2016 miaka 4 watu wanajadili Suburbs
leo mturudishe kule!!

f83383116f7d5127f12d87c9a67bdd53.jpg

c14a51a817ed359931230a2aaa5549b4.jpg

Mnapo kuwa wageni mjaribu kutuliza Nyege
hakuna jipya Humu Jamii forum
Si mmesema hii ni 2017...na mnataka vi2 za 2017....ka Hamna picha za suburbs museme kuliko story mob
 
Kwenye hiyo photo ndio CBD zenye majengo yote marefu old CBD inaonekana TIMES TOWER ambayo ni only over 30Floor, na kule Upper hill kuna BRITAM na UAP only 2 towers with over 30 floors. Huko Westland bado hamna tower yoyote ndefu yenye zaidi ya 30 floor labda baada ya miaka 4. Kwa hiyo hiyo picha hapo inaonyesha majengo yenu yote marefu. hiyo CBD ya tatu bado sana.
Hivyo nakushangaaga sana kila siku unasema Dar ni tower mbili tu.


From Onboard Kilimanjaro 6 from Zanzibar by indaressalaam, on Flickr

Dar Zanzibar trip by indaressalaam, on Flickr

From Onboard Kilimanjaro 6 from Zanzibar by indaressalaam, on Flickr


The view from MNF Tower rooftop. by indaressalaam, on Flickr


Hata nje ya CBD Kuna BUildings over 30 Floors

Kijitonyama Area by indaressalaam, on Flickr
Umeprove dar ni tower mbili
 
Back
Top Bottom