Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tapatalk_1492460480845.jpeg

Mji huu hauna uwezo Wa kuaccomodate 3.4mn residents,
Hapo nathibitisha 2.5mn mmejishindiria kibera.
Huu mji ni Mdogo kuliko Arusha.
 
Hahaha Dar embu oneni [emoji23][emoji23]
feb621a00aa79f31ff5a131dacd393b3.jpg
Halafu hiyo picha ya Nairobi ni mwaka huu 2017 evidence ni hiyo parliament tower Dar hata MNF haionekni TPA ilikua bado hata Cladding, ,Mzizima Ndio kabisaaa 。sasa tuheshimiane, Ni aibu kwa majigambo mnayoyatoa kule kwenye above 20 mpka 18/18 hadi mwanzisha thread kala kona . CBD tatu hizo. Kama bongo manyoidharau inawafanya mnapumulia machine. Halafu mnasema level yenu ni Johannesburg???? Hamna hata public transportation ya maana. Duh.
 
haii we unaota ulishindwa kutuma picha za SUBURBS,FLYOVERS INTERCHANGES ETC
nakwambia kwa hyo style ya city yenu....ni kichuguu city yaan mpo pabaya ......kwenye yetu bado kule ng'ambo upande wa pili kutoka bahari kule ndyo tunaishusha city zaidi ya london....soon mtaona ghorofa zimepanda
 
Halafu hiyo picha ya Nairobi ni mwaka huu 2017 evidence ni hiyo parliament tower Dar hata MNF haionekni TPA ilikua bado hata Cladding, ,Mzizima Ndio kabisaaa 。sasa tuheshimiane, Ni aibu kwa majigambo mnayoyatoa kule kwenye above 20 mpka 18/18 hadi mwanzisha thread kala kona . CBD tatu hizo. Kama bongo manyoidharau inawafanya mnapumulia machine. Halafu mnasema level yenu ni Johannesburg???? Hamna hata public transportation ya maana. Duh.
Iyo photo yenu imekaribia camera ya Nai ni far na camera...then mmechapa cbd tu(tower mbili tu) hamna any..kelele za vuvuzela
 
Iyo camera ni far sana..kuitumia kama inference.
unanigurahisha mpaka nime like wew unapenda jifariji ila ukweli ni bado nai hakujajengeka ....msijaribu kucompare nai na dar labda mshindane na sisi kwa barabara tena za center za fly over ila mkija kwenye road za kuelekea mikoani hamtugusi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Iyo photo yenu imekaribia camera ya Nai ni far na camera...then mmechapa cbd tu(tower mbili tu) hamna any..kelele za vuvuzela
Kuna kitu kinaitwa density. Dar ni height na Density , yaani Proper density. Angalia mapengo hapo Old CBD yenu hata Upper hill mtasubiri sana kuwa na cluster Kama hizi za Dar. Eti photo inakaribia na camera. You mean zoomed a lot ? How about this Shot here? My friend Dar is about Height and Density.

DSC_1021 by Brandon Chicago, on Flickr
 
sipendagi kurudia rudia photo lakini imenibidi kutokana na uhitaji wa mkenya mwenzenu nampa baadhi zile za kibabe nikimpa atalia ngoja nimpe simple houses
0e4cbb60648dfd897bab41f2df7b730b.jpg
5a033604f8f43f21185ae8bc34601921.jpg
fd9aac862c1d679661fa2cab0dbd02c9.jpg
8dbd956f0d2a88e3fa907cd26d8085dd.jpg
80a27ff0f92d10521ad062f64da5f81e.jpg
9cd11af354aaf36a97361fe98d1ce1f7.jpg
d3a2b0c19e746c111627391176c2c4eb.jpg
kibabeeeeee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Yarabi, kumekuwa na taarifa kwenye KTN kuhusu Dar is Slum, imenichukiza sana! Hili soko kweli ni chakula cha watu kinauzwa huko??

Kuanza leo nikisikia Mtazania anaongea kuhusu Kibera nitajua ni mwehu daaah, wacha tukae tukijuzana uzuri wa majiji yetu, sababu daah!! Hii noma vile
View attachment 497505 View attachment 497506
Hahaha si nyinyi kwenye ile thread nyingine mlisema local media "zenyu" hazi-report issues za tz?.kweli njia ya muongo ni fupi.
 
unanigurahisha mpaka nime like wew unapenda jifariji ila ukweli ni bado nai hakujajengeka ....msijaribu kucompare nai na dar labda mshindane na sisi kwa barabara tena za center za fly over ila mkija kwenye road za kuelekea mikoani hamtugusi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hehe unapenda kuhepa ukweli izo camera in different distance different angles...na haiezi tumika kufanya inference
 
Back
Top Bottom