Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

There is nothing new in this forum, all the photos being posted here from both Nairobi and Dar es saalam side are just repetition of the previous posts.
 
There is nothing new in this forum, all the photos being posted here from both Nairobi and Dar es saalam side are just repetition of the previous posts.
leo chai umetia sukari bro???😀😀😀😀😀
 
Ukweli usemwe na watu tukubali,kuanzia morroco hadi mwenge eneo hill ndio kijitonyama ipo kuna majengo mazuri mapya na new developments kando ya hiyo bagamoyi road lakini nyuma ya hayo majengo ni uswahili na uchafu maarufu kama slums japo sio kama za nairobi may be kwa kuwa linajengwa taratibu litakuja kuwa kama posta au upanga ila kuishindanisha na mitaa ya nairobi kwa sasa ni uongo
asante kwa kuja........
 
ulitaka gas tugawe bure au ulitaka tuingie mikataba isiokua na win win situations 😀😀😀😀

what is important nchi inufaike na mwekezaji anufaike sio anakuja mwekezaji anataka 70% kwa 30% alaf unataka ukenue meno
Kwa mikataba aliandaa na kusaini nani vile?? Na sheria je alipitisha nani?? Mazingira yale yale ya hayo madudu mbona yapo tu yaani ushabiki wa wa kijinga na kiongozi wa malaika ndo namba moja kwa kuufanya
 
Kwa mikataba aliandaa na kusaini nani vile?? Na sheria je alipitisha nani?? Mazingira yale yale ya hayo madudu mbona yapo tu yaani ushabiki wa wa kijinga na kiongozi wa malaika ndo namba moja kwa kuufanya
gas deal imesmamishwa kwasababu ya mikataba mibovu ndio maana tunatafuta mwekezaji mwenye nia njema na anaeweza kufanya deal za win win situation na kwenye madini tumefanya hvyo hvyo😀😀😀😀😀
 
asvptx kuifikia dar mufanye kubwa sana
upload_2018-7-3_15-58-40.jpeg
 
For the record sina ubaya wowote na TZ. Nyinyi ni majirani na tunafurahia kuona nyinyi pia mkikua. Ila nyinyi wenyewe mnadhani hii ni competition bana. Yes, mnakua lakini kujilimbikiza masifa na kuongelea mabaya kuhusu Kenya kila saa linasikitisha. Mkubali hadhi yenu na mjikakamue na tusonge mbele pamoja. Hii maneno si vita. Hamtakua kwa kukanyaga Kenya.. Sisi ni majirani tu
watz ni watu poa sana buda ........

shida ipo kwenu nyie wabongo hatuna tabia yakujipa misifa hiyo ni hulka ya wakenya ....huu ukweli usiupinge
 
sukari hakuna nasikia mumelishwa sukari ina kemikali dah poleni sana😀😀😀😀
But hizo ni tu porojo za kisiasa, mercury is very expensive that no businessman who wants to make profit can dare do that.
 
my friend 4b usd nai to msa alafu munaletewa gari moshi vyuma chakavu😀😀😀😀😀

usiseme ya umeme sema the modern electric train in africa itakwenda speed mpaka 200km per hr watu wanasonga mbele nyie munarudi nyuma 60yrs ago

SGR-coach-in-Kenya-1024x685-1.jpg
My fren, nitakujulisha kua hizo treni hata hazijaConstitute a big percentage of that 4b (sic)

Part of that cash imetumika kuunda stesheni za kisasa zaidi ya kumi (na bado)
 
tuwapate mbele ikiwa kujenga daraja la 80meters linabomoka chini ya viwango
sigiri kenya, mchina kawapatia sana safari hiii
sig8.jpg




je mkiambiwa mujenge daraja lenya 400 meters itakuaje😀😀😀😀😀😀
kilombero bridge tanzania
AF1QipNDXswAhSQ5tfRYrkX9UgNojMc1a4_JzTaH02Sv=s0

Magufuli%20bridge.jpeg
Hii hapa kazi rahisi sana kwangu kama structural engineer my friend. Sigiri bridge ni a case yenye tutaongelea nikipata facts. Unadhani Hii ndio the only bridge in Kenya? Buda! Bridges nipatie budget (ongea na maghufuli anaweza nipatia contract niwaundie bridges) na nitadesign tuunde kisha mje hapa JF kujifurahisha nazo
 
My fren, nitakujulisha kua hizo treni hata hazijaConstitute a big percentage of that 4b (sic)

Part of that cash imetumika kuunda stesheni za kisasa zaidi ya kumi (na bado)
never so it means kujenga madaraja na kutandika reli mumefanyiwa bure??😀😀😀😀😀
toa huo uchafu kichwani wewe kubali kua mchina amewaliza tu ukweli ndio huo🙄🙄🙄
 
Hii hapa kazi rahisi sana kwangu kama structural engineer my friend. Sigiri bridge ni a case yenye tutaongelea nikipata facts. Unadhani Hii ndio the only bridge in Kenya? Buda! Bridges nipatie budget (ongea na maghufuli anaweza nipatia contract niwaundie bridges) na nitadesign tuunde kisha mje hapa JF kujifurahisha nazo
so unataka kushindana na tanzania kwenye modern bridges au???😀😀😀😀😀😀
 
never so it means kujenga madaraja na kutandika reli mumefanyiwa bure??😀😀😀😀😀
toa huo uchafu kichwani wewe kubali kua mchina amewaliza tu ukweli ndio huo🙄🙄🙄
Ungekua mtu mwenye akili timamu ungeona kwamba nimesema 'part of '

Wacha nikimbie nyumbani nitazame WC
Nitawaacha mtafakari

 
Ungekua mtu mwenye akili timamu ungeona kwamba nimesema 'part of '

Wacha nikimbie nyumbani nitazame WC
Nitawaacha mtafakari

hahah leo umenichekesha sana sasa kwa taarifa yako kubali kua mchina kawakalisha kwenye kuti kavu😀😀😀😀

nchi zinasonga mbele maskini kenya inarudi nyuma 60yrs😛😛😛😛
even train driver hawez shuka mpaka aekewe ngazi
6a3568ec75354456ab1e6b6fc1540ba0_XL.jpg
 
sasa kwann sukari imekua shida imepanda bei sana
Imefichwa venye walificha mahindi last year. Pray very hard the Cartel movement isiingie Bongo, those people are very dangerous, all they care about is money.
 
Back
Top Bottom