Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kina Japan, America, China, Germany wako na debt to GDP ratio ya more than 100 % wengine ata 200%

Kenya ni 60% ..what's your point?
america japan germany wao tunawaita developed countries hawazungumzii habari ya dawa hospitalini au habari ya maji 😛😛😛😛

kenya na africa tunaita developing countries usichanganye oil na maji😀😀😀😀😀
 
Ukweli usemwe na watu tukubali,kuanzia morroco hadi mwenge eneo hill ndio kijitonyama ipo kuna majengo mazuri mapya na new developments kando ya hiyo bagamoyi road lakini nyuma ya hayo majengo ni uswahili na uchafu maarufu kama slums japo sio kama za nairobi may be kwa kuwa linajengwa taratibu litakuja kuwa kama posta au upanga ila kuishindanisha na mitaa ya nairobi kwa sasa ni uongo
karibu sana mkenya unaelazmisha kua mtanzania😀
 
Twajivunia kua na SGR

mambo shwari View attachment 801430
tapatalk_1530612065671.jpeg
tapatalk_1530612139437.jpeg
tapatalk_1530612148465.jpeg
 
america japan germany wao tunawaita developed countries hawazungumzii habari ya dawa hospitalini au habari ya maji 😛😛😛😛

kenya na africa tunaita developing countries usichanganye oil na maji😀😀😀😀😀
usiiweke Kenya pamoja na Africa.. Kenya linganisha na Egypt, South Africa, Nigeria na Mauritius buda.

Regardless, debt to GDP yetu iko very sustainable na tukitaka tunaweza kuiongeza ifike Hadi 75%. Why? Juu tuko na uwezo, juu tunaweza na juu tutaweza kuimudu.

Nyie hata Sidhani mnaezapitisha 25%
 
Speed : 120kph (cargo services) 100kph (passenger trains)

Comfort : very comfortable
Accidents: non at all

Tunafurahi
umejaza funza kichwani😀😀😀😀
yani cargo ikimbie 120 na abiria 100 who told you??

passenger 120
freight 80km per hr😀😀😀😀

69F8D362-77E8-4916-9762-E2DE19467A11.jpeg
 
usiiweke Kenya pamoja na Africa.. Kenya linganisha na Egypt, South Africa, Nigeria na Mauritius buda.

Regardless, debt to GDP yetu iko very sustainable na tukitaka tunaweza kuiongeza ifike Hadi 75%. Why? Juu tuko na uwezo, juu tunaweza na juu tutaweza kuimudu.

Nyie hata Sidhani mnaezapitisha 25%
kwa vile egypt na nigeria ziko europe??😀😀😀😀
is kenya developed country?? hahahhahah

mchawi mpe mwanao amlee😛😛😛😛

muko na uwezo wa corruption, wizi , ukabila , police killing na kukopa loan za ovyo
 
Hii ndio ile SGR hua mnaskia

Mue wakakamavu TZ.. mkianza yenu, yetu ilishamalizika na sasa hivi iko on its way to KISUMU then to UGANDA and eventually KIGALI View attachment 801444View attachment 801445View attachment 801446View attachment 801447View attachment 801448View attachment 801449View attachment 801450
sio tukianza tushaanza na tunajenga phase mbili kwa pamoja without any loan my friend😀😀😀😀

nyie munajenga 90km to naivasha
so 450+ 90 = 540km

tanzania inajenga 700km kwa mpigo hehehe
 
economy inakua kwa 4.4% unaita strong huku dedt to GDP ratio is 60% heheh yani mchina kawacharaza viboko vitakavowaumiza 40yrs my friend 4b usd nai to msa 450km alaf munaletewa train za 50yrs ago wakat tanzania inajenga modern electric train in africa 700km kwa 3.16b usd without any single loan😀😀😀😀😀😀😀

hii sio ile tz ya 90s
Umeshaanza uongo
 
umejaza funza kichwani😀😀😀😀
yani cargo ikimbie 120 na abiria 100 who told you??

passenger 120
freight 80km per hr😀😀😀😀

View attachment 801459
Sasawa mkuu.. Ata hiyo 80kph unayosisitiza japokua ni uongo nitaikubali kwani bado ni kasi sana kwa treni ambazo tulikua tumezoea 30-40kph
 
sio tukianza tushaanza na tunajenga phase mbili kwa pamoja without any loan my friend😀😀😀😀

nyie munajenga 90km to naivasha
so 450+ 90 = 540km

tanzania inajenga 700km kwa mpigo hehehe
Buda SGR Itafika hadi KIGALI sasa sijui hiyo 700km yako tutaiweka wapi
 
kwa vile egypt na nigeria ziko europe??😀😀😀😀
is kenya developed country?? hahahhahah

mchawi mpe mwanao amlee😛😛😛😛

muko na uwezo wa corruption, wizi , ukabila , police killing na kukopa loan za ovyo
Hizo ni shida zetu. Na bado tukiwa na hizi mashida bado tuko better kuwaliko.

Swali ni jee.. Tukipambana na mashida zetu tutakuaje? Si mtaona Kenya ni kama England ya Africa na Nairobi kama LONDON?

Mjimudu tafadhali
 
For the record sina ubaya wowote na TZ. Nyinyi ni majirani na tunafurahia kuona nyinyi pia mkikua. Ila nyinyi wenyewe mnadhani hii ni competition bana. Yes, mnakua lakini kujilimbikiza masifa na kuongelea mabaya kuhusu Kenya kila saa linasikitisha. Mkubali hadhi yenu na mjikakamue na tusonge mbele pamoja. Hii maneno si vita. Hamtakua kwa kukanyaga Kenya.. Sisi ni majirani tu
 
Back
Top Bottom