Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

gas deal imesmamishwa kwasababu ya mikataba mibovu ndio maana tunatafuta mwekezaji mwenye nia njema na anaeweza kufanya deal za win win situation na kwenye madini tumefanya hvyo hvyo😀😀😀😀😀
Ichogal is admitting how theyve been played fools for centuries, acacia walikua walipe some billions what happened?
 
But hizo ni tu porojo za kisiasa, mercury is very expensive that no businessman who wants to make profit can dare do that.
Anyone bright would understand that ita jus a way sugar cartels want to take over the current cartels, imagine buying sugar for the whole nation, watu nitajiri kweli
 
Mkuu unakwepa maswala nyeti bana. Wewe ndiye ulie Dar. Wewe ndio wa kuthibitisha ukweli ama uongo wa MJI WENU. Hivi tuseme hizo picha ni za kweli na tusonge mbele.

Watanzania nyinyi forever hamna haraka? waKenya ni watu wenye kuzingatia mda
Haraka yenu ndo hudondokea SGR za gar Moshi kama zile au sio??? Wazee wa taratiiibu na ufanisi tunaleta vitu subirin sindano ziwaingie bogus Kenyans
 
Haraka yenu ndo hudondokea SGR za gar Moshi kama zile au sio??? Wazee wa taratiiibu na ufanisi tunaleta vitu subirin sindano ziwaingie bogus Kenyans
hii ndiyo haraka yao washikaji wapo very fast hawapotezi mda
tapatalk_1530628381794.jpeg
 
Ha ha ha ha ni sheedah et
yaani hawa mashoga yakikenya yaliyopo humu nimakelele tu....

nchi haina wajenzi bora kabisa wanategemea kila kitu kwa upande wa contruction wajengewe na mafundi kutoka nnje yaani hata vitu vidogo......ndiyo maana majengo yao mengi yaliyotengenezwa na wazawa huwa hayavutii ni kinyaa yapo chini ya kiwango
 
yaani hawa mashoga yakikenya yaliyopo humu nimakelele tu....

nchi haina wajenzi bora kabisa wanategemea kila kitu kwa upande wa contruction wajengewe na mafundi kutoka nnje yaani hata vitu vidogo......ndiyo maana majengo yao mengi yaliyotengenezwa na wazawa huwa hayavutii ni kinyaa yapo chini ya kiwango
Hao wana mainjinia wa kiingereza majengo na usanifu wake wapi na wapi kaka...
 
hahahahaaa kivipi wewe bwana, sahani moja mtakulaje kwa kufanya nini? Tatizo we have empty head in white house but our economy is shrinking day in day out because we have left out key sector like gas and Bagamoyo port project
Hope you're the one empties head.
 
1.PPF TOWER 35FLR
2,3.PSPS TOWER 35FLR ×2
4.TPA TOWER 35FLR
5,6MZIZIMA TOWER erROR , 33FLR
7,8MNF TOWER 30FLR ×2
9.MILLENIUM TOWER 30FLR

Over 30flr buildings in Dar. ..Apa Hamna namna ya kuchomoka
 
And btw why are Tanzania so afraid of their govt?? No one dared complain of JF closure?

I just love Kenya, proud to be one.
 
1.PPF TOWER 35FLR
2,3.PSPS TOWER 35FLR ×2
4.TPA TOWER 35FLR
5,6MZIZIMA TOWER erROR , 33FLR
7,8MNF TOWER 30FLR ×2
9.MILLENIUM TOWER 30FLR

Over 30flr buildings in Dar. ..Apa Hamna namna ya kuchomoka
Avic 30flrs x4
Avic office 47flrs
Avic hotel 35flrs
Britam 30flrs
Prisim34flrs
Uap 33flrs
Times tower 33flrs
 
Back
Top Bottom