Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nyie muna roho mbaya sana na hamupendi kuona tanzania ikiinuka tunawajua vzr sana na safari hii tutakula sahani moja na nyie mpaka maji muite mma😀😀😀😀😀
hahahahaaa kivipi wewe bwana, sahani moja mtakulaje kwa kufanya nini? Tatizo we have empty head in white house but our economy is shrinking day in day out because we have left out key sector like gas and Bagamoyo port project
 
Sisi ni mandugu bro, Siwezi takia mtu yeyote mabaya especially hapa Africa mashariki. Mkikua tunakua pia, kutana na mkenya yeyote nje ya JF na mzungumze kuhusu TZ, utashtuka hakuna alie na mabaya kusema
mkikua munakua na nani kila mtu atakua kivyake tu nyie ndio mulikua munatutukana miaka 10 iliopita na kutudharau nakumbuka sana
 
mkikua munakua na nani kila mtu atakua kivyake tu nyie ndio mulikua munatutukana miaka 10 iliopita na kutudharau nakumbuka sana
Uliza majirani wetu UGANDA. Watakuambia Kenya ikikua wao pia wanasonga mbele. Uganda wao kwanza vile wako landlocked wanategemea Kenya sana. Na hakujawahi kua na tatizo.
 
Lakini sasa nyinyi mnarudi tu kwa just one pic na ni zile tower areas tu. Hapo, kusema ukweli bila kukuficha nitalinganisha na Westlands mkuu
anhaa kumbe ndio akili yako imekutuma hvo😀😀
655DA96D-B2AF-4E63-B629-1CE68DE61A1F.jpeg
EF24D645-1A0F-438D-A3E6-F010E08E2D1A.jpeg
 
hahahahaaa kivipi wewe bwana, sahani moja mtakulaje kwa kufanya nini? Tatizo we have empty head in white house but our economy is shrinking day in day out because we have left out key sector like gas and Bagamoyo port project
ulitaka gas tugawe bure au ulitaka tuingie mikataba isiokua na win win situations 😀😀😀😀

what is important nchi inufaike na mwekezaji anufaike sio anakuja mwekezaji anataka 70% kwa 30% alaf unataka ukenue meno
 
Uliza majirani wetu UGANDA. Watakuambia Kenya ikikua wao pia wanasonga mbele. Uganda wao kwanza vile wako landlocked wanategemea Kenya sana. Na hakujawahi kua na tatizo.
nyie munamatatizo na kila nchi ndio maana hata mugabe alisema munapenda kutangaza vitu visivyokua vya kwenu😀😀😀😀
 
Ichoboy hapa ni Pinnacle. Kazi inaendelea. Ulitaka nikuonyeshe tofali moja lakini bado mkuu..

Mimi mwenyewe ni structural engineer na nitakuambia such a huge structure requires a deep foundation.. So far naona ni drilling of hizo piles za foundations before ujenzi (matofali uliokua ukitaka) uanze. Usikue na matumaini anytime soon but Pinnacle itakamilika around 2021
tapatalk_1530619692846.jpeg
tapatalk_1530619683913.jpeg
 
Back
Top Bottom