so iko hvo since 2014 no works going on??Ichoboy hapa ni Pinnacle. Kazi inaendelea. Ulitaka nikuonyeshe tofali moja lakini bado mkuu..
Mimi mwenyewe ni structural engineer na nitakuambia such a huge structure requires a deep foundation.. So far naona ni drilling of hizo piles za foundations before ujenzi (matofali uliokua ukitaka) uanze. Usikue na matumaini anytime soon but Pinnacle itakamilika around 2021View attachment 801562View attachment 801563
alitakiwa kulipa pesa ya kodi coz wamepitisha sheria za mitandao lazma walipe na amelipa so iko hewaniSasa mbona mliamua kufunga JF? I used to waste time here when i was free.
Hehe sawasawa hapo panavutia. Pale ambapo nimeinamia Dar ni building density
mnazo. Lakini at the expense of one major thing, Social amenities (as in parks, forests, na generally pahali pa kutulia) Ama mnazo parks? Sijui..utaniambia haha wrong. Mugabe na naona wewe pia alimaanisha umaarufu wa waKenya. WaKenya watu hatari sana. Ni watu waliosoma sana kwa hivyo kazi nyingi sana waKenya utapata wanaqualify kwa sababu wako highly educated na ni wajanjanyie munamatatizo na kila nchi ndio maana hata mugabe alisema munapenda kutangaza vitu visivyokua vya kwenu😀😀😀😀
porojohahahahaaa kivipi wewe bwana, sahani moja mtakulaje kwa kufanya nini? Tatizo we have empty head in white house but our economy is shrinking day in day out because we have left out key sector like gas and Bagamoyo port project
Maarifa ninazo utadhani ni watu ishirini kumbe mmoja.huyo ni mtoto mdogo sana kwangu hana alijualo 😀😀😀😀 nimebakia kucheka tu
kufikia density ya CBD dar labda ukusanye cbd yenu kusanya upper hill kusanya westland etc😀😀😀😀Hehe sawasawa hapo panavutia. Pale ambapo nimeinamia Dar ni building densitymnazo. Lakini at the expense of one major thing, Social amenities (as in parks, forests, na generally pahali pa kutulia) Ama mnazo parks? Sijui..utaniambia
NBO kuna UHURU PARK, CITY PARK, JEEVANJEE GARDENS, KARURA forest pahali pa kubarizi tu
Get your facts right. 2014 bado ilikua design stages. Stages za construction huwa ni PLANNING kisha DESIGNING alafu sasa Construction.. Ambayo ilianza late 2015so iko hvo since 2014 no works going on??
big white elephant😀😀😀😀 heheheh
go on showing us renders of pinnacle na usisahau montave na nairobi88
sehem kama hzoHehe sawasawa hapo panavutia. Pale ambapo nimeinamia Dar ni building densitymnazo. Lakini at the expense of one major thing, Social amenities (as in parks, forests, na generally pahali pa kutulia) Ama mnazo parks? Sijui..utaniambia
NBO kuna UHURU PARK, CITY PARK, JEEVANJEE GARDENS, KARURA forest pahali pa kubarizi tu
hawana ujanja zaidi ya ujinga unafurahia train ya 60yrs ago wakat mchina anaakili na kawatandika kisawasawahaha wrong. Mugabe na naona wewe pia alimaanisha umaarufu wa waKenya. WaKenya watu hatari sana. Ni watu waliosoma sana kwa hivyo kazi nyingi sana waKenya utapata wanaqualify kwa sababu wako highly educated na ni wajanja
hahhahaa go on posting renders plz😀😀😀Get your facts right. 2014 bado ilikua design stages. Stages za construction huwa ni PLANNING kisha DESIGNING alafu sasa Construction.. Ambayo ilianza late 2015
endeleea kufanya haraka for nothing...........nakutakia mafanikio mema...........Lazima ungesingizia tu. Najielewa tena vizuri sana, ndugu.
Ukitaka kujua haraka ninayo ongelea.. For free, I will tell you to refer to the back pages

Sasa hapa ndio tofauti kuu baina ya sisi na nyinyi. Nyinyi mnaangalia mvuto wa treni (yaani sura) Sisi tunaangalia ufanyikazi wa trenihawana ujanja zaidi ya ujinga unafurahia train ya 60yrs ago wakat mchina anaakili na kawatandika kisawasawa
Asante sana kwa mujibu wa waKenya. Mtupate mbele basiendeleea kufanya haraka for nothing...........nakutakia mafanikio mema...........![]()
walivyowapuuzi wamezipiga kabisa chapa ya benderawhich is 100km per hr hebu tueleze hapo???? cargo train??
munachukua mkopo 4b usd nai to msa alaf munaletewa train za 50yrs ago hahahah😀😀😀😀![]()
my friend 4b usd nai to msa alafu munaletewa gari moshi vyuma chakavu😀😀😀😀😀Sasa hapa ndio tofauti kuu baina ya sisi na nyinyi. Nyinyi mnaangalia mvuto wa treni (yaani sura) Sisi tunaangalia ufanyikazi wa treni
*Treni inakimbia at 120kph na 100kph
*Treni inasafirisha abiria na goods (containers) taratibu
*Treni iko comfortable na imepunguza wakati wa kusafiri na karibu saa nne
*SGR yenyewe itatumia umeme wakati umeme itakua sufficient
Nyinyi bado mnatulilia ati ooh 60yrs old ooh 100yrs old.. Hadi saa ngapi??
tuwapate mbele ikiwa kujenga daraja la 80meters linabomoka chini ya viwangoAsante sana kwa mujibu wa waKenya. Mtupate mbele basi