ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
ni uongo au hupendi ukweli??😀😀😀Sasawa mkuu.. Ata hiyo 80kph unayosisitiza japokua ni uongo nitaikubali kwani bado ni kasi sana kwa treni ambazo tulikua tumezoea 30-40kph
ni uongo au hupendi ukweli??😀😀😀Sasawa mkuu.. Ata hiyo 80kph unayosisitiza japokua ni uongo nitaikubali kwani bado ni kasi sana kwa treni ambazo tulikua tumezoea 30-40kph
kigali yuko huku na kasha saini mkataba tanzania kigali ya wapi unayoizungumzia wewe😀😀😀😀 burundi nae kasha saini tayar yani hapo msali sala zote kumuomba uganda tuBuda SGR Itafika hadi KIGALI sasa sijui hiyo 700km yako tutaiweka wapi
uhehehe acha hasira basi😀😀😀😀 vile nakuona kama hipendi ukweliNgeli ya waTZ ni 'tuta' 'tuna' ya Wakenya ni 'tume' ndugu
kwa taarifa yako kenya ina shida nyingi sana kuliko tanzania hata leo ukiangalia inflation kenya iko juu kuliko tanzania😀😀😀😀 muna nuka njaa usiku na mchanaHizo ni shida zetu. Na bado tukiwa na hizi mashida bado tuko better kuwaliko.
Swali ni jee.. Tukipambana na mashida zetu tutakuaje? Si mtaona Kenya ni kama England ya Africa na Nairobi kama LONDON?
Mjimudu tafadhali
nyie muna roho mbaya sana na hamupendi kuona tanzania ikiinuka tunawajua vzr sana na safari hii tutakula sahani moja na nyie mpaka maji muite mma😀😀😀😀😀For the record sina ubaya wowote na TZ. Nyinyi ni majirani na tunafurahia kuona nyinyi pia mkikua. Ila nyinyi wenyewe mnadhani hii ni competition bana. Yes, mnakua lakini kujilimbikiza masifa na kuongelea mabaya kuhusu Kenya kila saa linasikitisha. Mkubali hadhi yenu na mjikakamue na tusonge mbele pamoja. Hii maneno si vita. Hamtakua kwa kukanyaga Kenya.. Sisi ni majirani tu
😀😀😀😀😀
😀😀😀😀😀Ichoboy ndio Hii CBD yenye ulisema inakaa kupigwa bomb
View attachment 801482View attachment 801484View attachment 801483View attachment 801485View attachment 801487
😀😀😀😀😀😀😀 na sio hiiIchoboy ndio Hii CBD yenye ulisema inakaa kupigwa bomb
View attachment 801482View attachment 801484View attachment 801483View attachment 801485View attachment 801487
very small heheheh😀😀😀😀Kuna Hii picha niliona hapa kitambo kidogo lakini NBO yavutia Itabidi nimeirudisha hapa.
Hii bado CBDView attachment 801513
Yes this is the spirit of neighborhood. Kwani kweli Tanzania tufanye yetu tu by any means hatuwezi kushindana na Kenya. They are well ahead of us not by inches but by milesFor the record sina ubaya wowote na TZ. Nyinyi ni majirani na tunafurahia kuona nyinyi pia mkikua. Ila nyinyi wenyewe mnadhani hii ni competition bana. Yes, mnakua lakini kujilimbikiza masifa na kuongelea mabaya kuhusu Kenya kila saa linasikitisha. Mkubali hadhi yenu na mjikakamue na tusonge mbele pamoja. Hii maneno si vita. Hamtakua kwa kukanyaga Kenya.. Sisi ni majirani tu
Sisi ni mandugu bro, Siwezi takia mtu yeyote mabaya especially hapa Africa mashariki. Mkikua tunakua pia, kutana na mkenya yeyote nje ya JF na mzungumze kuhusu TZ, utashtuka hakuna alie na mabaya kusemanyie muna roho mbaya sana na hamupendi kuona tanzania ikiinuka tunawajua vzr sana na safari hii tutakula sahani moja na nyie mpaka maji muite mma😀😀😀😀😀