Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nioneshe sehemu ambayo ww una claim ni dar haha wewe usikimbie mjadala kama unayo sehem unayosema ni dar onesha hapa kama huna basi okota picha google kama mwenzio na useme dar😀😀😀😀😀
Hapa dar
Screenshot_2018-06-25-10-41-17-95.png
Screenshot_2018-06-25-10-36-17-71.png
Screenshot_2018-06-25-10-41-16-25.png
Screenshot_2018-06-25-10-36-08-59.png
😀😀😀😀😀😳😳
 
kufikia dar nyie itawachukua 30yrs yani mujitahidi sana tena sana😀😀😀😀
Naomba mungu tusiwai fika hapa juu kenya itakuwa failed state
Screenshot_2018-06-25-10-41-26-73.png
Screenshot_2018-06-25-10-41-26-73.png
Screenshot_2018-06-25-10-37-48-40.png
Screenshot_2018-06-25-10-37-36-99.png
aada miaka 60 ya uhuru na amani yaaani hi ndio dar afadhali Mogadishu kunaeleweka kuna vita lakini daaar😀😀😀😀😀b
 
haya nioneshe hizo picha pamoja na umbali wa camera nioneshe kuna tatizo gani??😀😀😀😀

na ukitaka nikuoneshe slums sema tu utaziona
Kumbe umekubali si ulikua umekataa hapa dar ati ni mogadie😀😀😀😀
 
hehehe binaadamu anaishi hapa nairobi alaf wanataka shindana na dar.
nairobi-mathare-slums.jpg
Kroo-Bay-Slum-Freetown-Sierra-Leone.jpg
 
haya nioneshe hizo picha pamoja na umbali wa camera nioneshe kuna tatizo gani??😀😀😀😀

na ukitaka nikuoneshe slums sema tu utaziona
Umbali wa camera.. Ooh slums.. Ooh sijui nini. Umethibitisha hapo ni Dar.

Slums tunazo na kusema ukweli lazima kutakua na wale watu wa mapato ya chini. So mkileta picha za slums hazitudhuru kwa sababu tumekubali kuna watu wa mapato ya chini.

What's more, hizo slums Zinakua rehabilitated so in 10 years time tutalinganisha hizi picha za slums saizi na then
 
Yaani kumbe nje ya cbd dar hakuna kitu kijitonyama yenye mnashinda mkiiba ha pa ni majengo alalafu slum alafu hadi unaikana, cha muhimu umejua dar ni ya kulinganisha na Mogadishu kuanza leo😀😀😀😀
Makazi yasiopimwa mfano apo kijitonyama hakuna shida ila kuna mwananyamala imeungana na manzese nenda kigogo hadi mburahat watu walijenga bila mipango miji na ni sehemu za zaman so Ukitaka pata view ya tofaut maeneo ni Mengi tu Mbali na posh estates mlizozizoea
 
jamaa hajielewi anafikiri watu wamelala au wanafanya haraka for nothing....
Lazima ungesingizia tu. Najielewa tena vizuri sana, ndugu.

Ukitaka kujua haraka ninayo ongelea.. For free, I will tell you to refer to the back pages
 
Umbali wa camera.. Ooh slums.. Ooh sijui nini. Umethibitisha hapo ni Dar.

Slums tunazo na kusema ukweli lazima kutakua na wale watu wa mapato ya chini. So mkileta picha za slums hazitudhuru kwa sababu tumekubali kuna watu wa mapato ya chini.

What's more, hizo slums Zinakua rehabilitated so in 10 years time tutalinganisha hizi picha za slums saizi na then
hehehe wacha turudi kwenye facts kumbe akili yako ulijua hzo ni slum hehehhe😀😀😀😀😀 na hapo ndio nilikua nakusubiri kwa hamu uguse kwenye slum ujionee raha ilioje karib sana
B3832F98-3055-4A2E-927E-7D72397CE267.jpeg
 
Back
Top Bottom