Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maisha iko juu coz it's an important and competitive city. Niambie ni jiji gani la maana hapa Africa ama dunia nzima iko na kiwango cha chini cha maisha? glorified villages like Dar ndo maisha iko rahisi coz haiko competitive in anything. Yani kule hakuna mtu ako na haraka ya kuenda coz haina umuhumi yoyote so cost ya maisha inabaki chini
Mumbai maisha marahisi
 
Next time JUA kenye unaongelea Ongea Ukweli si Kudanganya watu hapa.. Kama HUJUI Kayole Ulizia sikupost pic za Kibera ukiropokwa ni Kayole.. View attachment 786535View attachment 786536View attachment 786537View attachment 786538View attachment 786539
Nilichogundua wakenya wanaushamba wa kuishi magorofani(flats) kitu ambacho watz hatupendi so kwetu ni bora kujenga nyumba yako hata kama kiwanja chako hakijawa surveyed. We like privacy and enough space for ourselves.
 
Hii story ta kijenga nyumba Dar ndio chanzo cha hicho kijiji chenu kukosa plan na mvuto...huku kenya, Nairobi ni eleo la kufanya kazi na biashara, watu wamejenga vijijini kwao walipozaliwa. Mimi mwenyewe niko na bongo la nyumba kwetu ila ninapangisha nairobi coz niko huku kikazi. Nikistaafu ama kuwacha kazi narudi kwetu mashambani kuendelea na maisha. Kitu cha pili unafaa kuelewa ni kwamba cost ya land Nairobi sio shilingi mbili kama ilivyo katika hicho kijiji chenu cha Dar. Nairobi kuna sehemu hekari moja ya ardhi Inauzwa hadi ksh700 milion!! sijiu hizo ni trilioni ngapi za bongo. So nyinyi endeleeni kujenga swahili shacks in your city and calling them dream houses.
Sisi tumejenga majumba Dar na vijijini kwetu tunapoenda kila mwaka kusalimia. Yaani ufanye kazi miaka zaidi ya 30 ukiwa umepanga??? That is not an excuse ila dalili ya maisha magumu.
 
9D87C3E4-3DDF-41EF-8303-EC6BECAA2E8C.jpeg
 
Niko na bonge la nyumba kwetu kijijini tena nzuri sana. Ama kwa akili yako lazima mtu awe na nyumba Nairobi ndio ujue ako na nyumba? Kuna walio na nyumba Nairobi pia, si eti hawapo ila usifikiri Nairobi ni kama Dar ambapo kipande cha ardhi ni shilingi mbili kisha mnajenga swahili villages halafu mnajiona wenye maendeleo sana. Ingekuwa kila mtu anajenga nyumba Nairobi, ingekuwa tu kama hicho kijiji chenu cha uswazi. Nairobi has very strict building and zoning codes ndio maana unaona most parts of Nairobi ziko organized
Nyumba zote hadi benki wanazitambua na tunazitumia kupata loads of cash from banks as loans.
 
Nilichogundua wakenya wanaushamba wa kuishi magorofani(flats) kitu ambacho watz hatupendi so kwetu ni bora kujenga nyumba yako hata kama kiwanja chako hakijawa surveyed. We like privacy and enough space for ourselves.
Let me correct you why we like apartments ama flats, imagine how much income you get in a month for building such things, typically you can cash in on average about kes.400,000/ Tzs.8.4m from them by buidling on a 50 X 100 plot, wewe ukiishi kwa your own compound for me ill build on my own that flat, who do you think financially will do well?
 
Let me correct you why we like apartments ama flats, imagine how much income you get in a month for building such things, typically you can cash in on average about kes.400,000/ Tzs.8.4m from them by buidling on a 50 X 100 plot, wewe ukiishi kwa your own compound for me ill build on my own that flat, who do you think financially will do well?
It's ok for owners but bad for me as a tenant. Ndio maana sisi hujenga zetu ili kukimbia hizo kodi za kupanga. Wangap kenya wanauwezo wa kujenga flats Nairobi???
 
Back
Top Bottom