Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
tulishawaambia tatizo ni picha tu .....ukipita sehemu kama tegeta,mbezi na mengineyo hayo ni maeneo makubwa sana tatizo hatuna picha.........Lol only by Tanzanian standards.....tembea in better countries like Kenya ujionee
twajua nyie mshamaliza nairobi yote kwa aerial view zenye ubora sisi hata robo hatujawaonyesha......zikipatikana picha za hayo maeneo utaelewa namaanisha nini