Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We don't have time for that kind of life Nairobi ni Chap chap People Work Hard and fast Hakuna time ya Kusettle... People settle Maybe in satellite areas wakisha retire and I don't Think mtu wa kawaida anaweza afford Land Nairobi... Land Huku Ina value Mingi saaana

Sasa maisha gani hayo ya kutafuta hela ujana wako wote halafu maisha uyafaidi uzeeni tu??. Duniani mimi nadhani tupo kuishi na kufurahia maisha na kutafuta hela ni part ya maisha lakini sio maisha.
 
Bro unaijua bendera ya ureno(Portugal)???cr7 alikuwepo uwanjani Jana.

Ingawa hiyo haionekani vizuri but hata ingekuwa ya Kenya kwani wakenya hawawezi enda kuona mechi hapo??
Hujui hata bendera ya Portugal?
 
Bro nikikupa picha ya Sudan niseme ni Kenya utakubali??
Sasa wewe unataka kusema huu ni mji gani? Saa zingine kubalini ukweli, wakati mnaweka picha za Kibera humu sisi hukubali. Picha inaonekana wazi ni Dar, mandhari yake ni Dar, hata ukiilinganisha na Dar kwenye Google maps zinafanana lakini mnapinga tu. Hivi hapa ni South Sudan?
16493235947_b1ab0c2646_b.jpg
 
Sasa wewe unataka kusema huu ni mji gani? Saa zingine kubalini ukweli, wakati mnaweka picha za Kibera humu sisi hukubali. Picha inaonekana wazi ni Dar, mandhari yake ni Dar, hata ukiilinganisha na Dar kwenye Google maps zinafanana lakini mnapinga tu. Hivi hapa ni South Sudan?
16493235947_b1ab0c2646_b.jpg
Ambatanisha na placetag basi.
 
mkenya anaokota picha google anakwambia dar hahahha ndio yale ya collo mzii anaokota picha za siera lione na congo anakwambia dar 😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom