mombasa254
JF-Expert Member
- Dec 2, 2017
- 1,026
- 215
Munajidai na maji.....na most of of dar water.is tastelesswakat wenzetu wakihangaika na maji jijini hali halisi ya dar hii hapa
View attachment 735491
Munajidai na maji.....na most of of dar water.is tastelesswakat wenzetu wakihangaika na maji jijini hali halisi ya dar hii hapa
View attachment 735491
Huwez compare JNIA T3 na godownHAUKO SERIOUS
![]()
Yes water should be tasteless,colorless,odourless,free from pathogens that's physical characheristics of pure waterMunajidai na maji.....na most of of dar water.is tasteless
hawana emergency lanes?
NINI IMECHANGE FROM AUGUST 2O17View attachment 734067 picha ni ya August 2017 skytower iki topout
Achana na hizi story kwanza, habari ya mjini niniwamba Kenya imepata barabara za BRT, kwa kutumia njia ya kuchora, sio kujenga kama nchi zingine zinavyofanya, hii habari ndiyo inayo trend kwa sasa duniani, CNN, BBC, Aljazeera zote zinarusha Live kutoka KiberaNINI IMECHANGE FROM AUGUST 2O17

uhahhaha jiji la nairobi halina maji😀😀😀Munajidai na maji.....na most of of dar water.is tasteless
Sasa huyo mwenzako amesema ni tastless, wewe unasema yana chumvi, mbona mnatapatapa?. Source ya maji ya Dar ni river Ruvu sio underground, na huo mto Ruvu hutegemea mvua, kwahiyo maji ya Dar ni sawa na bottled mineral water, njoo uje upumzike Dar, Nairobi hata maji ya kunawa uso asubuhi ni shida.Yaniii....., maji ya jumvi imalizi kiu...uko dar....
Naona leo mnawapa darasa kuhusu maji, wanatapa tapa mara tasteless mara chumvi!! maji safi na salamaSasa huyo mwenzako amesema ni tastless, wewe unasema yana chumvi, mbona mnatapatapa?. Source ya maji ya Dar ni river Ruvu sio underground, na huo mto Ruvu hutegemea mvua, kwahiyo maji ya Dar ni sawa na bottled mineral water, njoo uje upumzike Dar, Nairobi hata maji ya kunawa uso asubuhi ni shida.
wakenya ni machiziwakenya pamoja na kuwa mmejifunza BRT kwetu lakin bado mmefeli
https://edaily.co.ke/entertainment/...-brt-thika-superhighway-130408/enews/ekenyan/
View attachment 735404View attachment 735406
kipi cha ajabu....hapo acha ushambaYani there is Mombasa nyie.lalas mnaimba na sijui darView attachment 735425
ha haaa kabisa ...wakenya oyeeeeHapana walienda kujifunza South America, walisema ya Dar ina mapungufu mengi, South America waliwauliza wana pesa kiasi gani ili wawachagulie design inayoendana na pesa yao, wakasema wana madeni kuliko nchi zote za Africa, ikabidi wawachagulie hiyo ya kupaka rangi barabara.
kama kawaida hilo jambo ni lazimaNa uhakika hii brt ya kenya imetumia pesa nyingi kuliko ya TanzaniaView attachment 735440View attachment 735441
wakenya ni vitukoyani mpaka mbavu sio roho tu😀😀😀
mbavu zote zinauma nimecheka sana lol😀
sisi tuna two part....nyie vijibanda vyenu vipo sehemu moja ikikanilika hiyo ndani ya huu mwaka ....mtakuwa mnakufa mdogo mdogo
ha haaaa ni kweli kabisa .....
washafeliTumewazidi nyumba Za maana ,hotels mlikaa ,kitu mmeweza ni thika highway naona sasa mmeanza ibadili matumizi
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app